Wana CCM kama mngebakia kwenye msingi ambayo ijijengwa chini ya uongzi wa Baba wa taifa; hakuna mtu angewachukia na kuwabeza!!
Msingi hii imebakia kwenye makabrasha tu hapo Lumumba!! - Kuongoza nchi ni lazima ujitoe nafsi yako wa ajiri ya watu wengine, sasa mtu anachukua mil 10 za umma anasema alinunua mboga!! kweli?? tutafika wa style hii -- HAPANA.
Wana CCM enzi za Mwalimu waliamini na kuzingatia ahadi hizi:-
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Dunia ni moja
2. Nitaitumikia nchi yangu na binadamu wenzangu wote kwa unyenyekevu na moyo wa upendo na huruma
3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, maradhi, na dhuluma hapa nchini na duniani pote.
4. Rushwa ni adui wa haki, sitatatoa wala kupokea Rushwa.
5. Cheo ni dhamana sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.