Naipenda Jumamosi yangu - Stori bomba ya uhusiano

Tunaangalia primary responsibility ya mwanamke, hilo lingine wanasaidia tu coz lifestyle imebadilika. Otherwise mwanamke kiasili ni mtu wa kunyoosha miguu na kusubiri kuhudumiwa.

Ndio maana hata kwenye tendo pendwa wewe kazi yako kubwa ni kuchanua na mengine mengi anafanya Mr wako, ila kwa sababu ya lifestyle kubadilika, leo hii lazima kuna nyakati unakaa juu na kusimamia show(unamgonga mr wako).
daah
 
Mama D alikuwa na sh 470,000..Katoa 30,000 kwa dereva kabakiwa na 440,000..Hii uenda ndo ikawa pesa yake ya mwisho kama Fadhili atamfungia vioo..Kitakachofwata hapo ni kudanga..
Huyu dada hata mimi ninaweza kuja kumla huko mbeleni..

🤣🤣🤣🤣aisee hujui labda mbeleni atakuwa marehemu na we ushampania tayari
 
Eeeh nilikuwa nasoma hizi comments nikahisi nipo FB na sio JF. How surprising a God fearing woman has been praised and honored in your comments.

Na wakati nimeshazoea kuona mtu akitaja mambo ya kusali sijui makanisa humu; tunamwita mnafiki sijui desperate; aliyejikatia tamaa na majina mengine yasiyopendeza. Sasa najiuliza hivi huyo mwanamke anayesifiwa hapa kama Tilda na mama Simon; angefikia kiwango hicho kama angekuwa hajaamua kumtafuta Mungu kweli kweli? Hivi kwa ratiba zetu za kwenda jumapili kanisani na kuhudhuria ibada saa 1 hadi saa 3 ndo inatosha kumjenga mwanamke mwombaji wa kuweza kuongea na Mungu kwa kumaanisha for hours? Obviously ni mtu ambaye amespend ana anaspend muda mwingi na Mungu (sio kushinda na kulala kanisani)..
Wangapi huwa mnaruhusu wake zenu wawe wanaenda fellowship; Ibada na semina za wanawake etc?

Zinawekwaga picha hapa labda wadada singles kwenye mkutano wa Mwakasege; mtachamba wee. Eeh yamehangaika huko; yaliringa kuolewa sasa hivi ndo yanajifanya kukimbilia kwa Mungu mnasahau kuwa wakati na bahati huwapata wote (Mhubiri 9:12) . Tuassume basi they are 30+ and desperate; hivi kuna shida gani mtu akiwa desperate then akaamua kukimbilia kwa Mungu? Kuna shida gani mtu na madhambi na madhaifu yake akiamua kumwendea Mungu? Ni wangapi walio desperate wanaishia kwa waganga; au ni vile tu waganga hawapigi picha za wanaoattend kwao? Mbona tungetafutana hapa.

Watieni moyo mabinti wamtafute Mungu; misingi wanayoijenga huko ndo inakuja kuwasaidia hata ndoani. Imagine mama D angekuwa ni mwombaji tangu ubinti wake; angekuwa malaya wa uzeeni? Au at least angekuwa mtu wa Ibada na fellowships kichaa kingempata? Mkiona wanawake wanajazana makanisani ndo wa kwanza kuwakejeli; hivi mnafikiri wote wanaoenda mule ni wanaenda tu kumwambudu Mungu; wengi wapo mule kumlilia Mungu juu ya ndoa zao. Sasa kukimbilia kanisani na kuwa malaya wa uzeeni kipi bora? Let them find comfort in Jesus

Wanaume wengi ni sababu ya wake zenu kujazana makanisani. Wanawake wana maumivu; wana uchungu wakati mwingine hata wanashindwa kupokea baraka zao; maana hawapeleki maombi bali machozi. Emu wapendeni wake zenu; mke akienda mbele za Mungu asiende kumlilia maumivu unayompa; alie kwa sababu anamshukuru Mungu kumpa mume kama wewe; alie akikuombea Mungu na yeye amkumbuke mume wake kwenye afya; uchumi; ulinzi n.k. Sasa huyo mke unayemuumiza na michepuko; hivi kweli kabisa atakumbuka kukuombea afya na uchumi wako? Kila siku yeye atalilia ndoa tu? No wonder kuna wanawake wanaomba hata waume zao wapatwe na matatizo; angalau ndo watakumbuka kuwa wana wake na familia.

Ukitaka mkeo akuombee mema; love and respect her. Ataenda kwa Mungu kumkumbushia mambo yako kwa kumaanisha; sio kukulilia machozi daily. Unfortunately Mungu hajibu kwa kuangalia machozi/emotions za mtu. Wakienda makanisani mnachamba; ila kuombewa mnataka. Mnafikiri kuomba ukiwa na back up ya neno; kunakuwa achieved kirahisi hivyo? Bado mtu aombe; aamini maombi yake na bado awe na uvumilivu majibu yake yajidhihirishe. Hapo kwenye kusoma vifungu vya Biblia; 90% tumescroll down; ndo mtu aombe kwa kuvitaja kama reference kwenye maombi yake teh. Ain't an easy task; put some respek in your prayer warrior wives/sisters
 
Eeeh nilikuwa nasoma hizi comments nikahisi nipo FB na sio JF. How surprising a God fearing woman has been praised and honored in your comments.

Na wakati nimeshazoea kuona mtu akitaja mambo ya kusali sijui makanisa humu; tunamwita mnafiki sijui desperate; aliyejikatia tamaa na majina mengine yasiyopendeza. Sasa najiuliza hivi huyo mwanamke anayesifiwa hapa kama Tilda na mama Simon; angefikia kiwango hicho kama angekuwa hajaamua kumtafuta Mungu kweli kweli? Hivi kwa ratiba zetu za kwenda jumapili kanisani na kuhudhuria ibada saa 1 hadi saa 3 ndo inatosha kumjenga mwanamke mwombaji wa kuweza kuongea na Mungu kwa kumaanisha for hours? Obviously ni mtu ambaye amespend ana anaspend muda mwingi na Mungu (sio kushinda na kulala kanisani)..
Wangapi huwa mnaruhusu wake zenu wawe wanaenda fellowship; Ibada na semina za wanawake etc?

Zinawekwaga picha hapa labda wadada singles kwenye mkutano wa Mwakasege; mtachamba wee. Eeh yamehangaika huko; yaliringa kuolewa sasa hivi ndo yanajifanya kukimbilia kwa Mungu mnasahau kuwa wakati na bahati huwapata wote (Mhubiri 9:12) . Tuassume basi they are 30+ and desperate; hivi kuna shida gani mtu akiwa desperate then akaamua kukimbilia kwa Mungu? Kuna shida gani mtu na madhambi na madhaifu yake akiamua kumwendea Mungu? Ni wangapi walio desperate wanaishia kwa waganga; au ni vile tu waganga hawapigi picha za wanaoattend kwao? Mbona tungetafutana hapa.

Watieni moyo mabinti wamtafute Mungu; misingi wanayoijenga huko ndo inakuja kuwasaidia hata ndoani. Imagine mama D angekuwa ni mwombaji tangu ubinti wake; angekuwa malaya wa uzeeni? Au at least angekuwa mtu wa Ibada na fellowships kichaa kingempata? Mkiona wanawake wanajazana makanisani ndo wa kwanza kuwakejeli; hivi mnafikiri wote wanaoenda mule ni wanaenda tu kumwambudu Mungu; wengi wapo mule kumlilia Mungu juu ya ndoa zao. Sasa kukimbilia kanisani na kuwa malaya wa uzeeni kipi bora? Let them find comfort in Jesus

Wanaume wengi ni sababu ya wake zenu kujazana makanisani. Wanawake wana maumivu; wana uchungu wakati mwingine hata wanashindwa kupokea baraka zao; maana hawapeleki maombi bali machozi. Emu wapendeni wake zenu; mke akienda mbele za Mungu asiende kumlilia maumivu unayompa; alie kwa sababu anamshukuru Mungu kumpa mume kama wewe; alie akikuombea Mungu na yeye amkumbuke mume wake kwenye afya; uchumi; ulinzi n.k. Sasa huyo mke unayemuumiza na michepuko; hivi kweli kabisa atakumbuka kukuombea afya na uchumi wako? Kila siku yeye atalilia ndoa tu? No wonder kuna wanawake wanaomba hata waume zao wapatwe na matatizo; angalau ndo watakumbuka kuwa wana wake na familia.

Ukitaka mkeo akuombee mema; love and respect her. Ataenda kwa Mungu kumkumbushia mambo yako kwa kumaanisha; sio kukulilia machozi daily. Unfortunately Mungu hajibu kwa kuangalia machozi/emotions za mtu. Wakienda makanisani mnachamba; ila kuombewa mnataka. Mnafikiri kuomba ukiwa na back up ya neno; kunakuwa achieved kirahisi hivyo? Bado mtu aombe; aamini maombi yake na bado awe na uvumilivu majibu yake yajidhihirishe. Hapo kwenye kusoma vifungu vya Biblia; 90% tumescroll down; ndo mtu aombe kwa kuvitaja kama reference kwenye maombi yake teh. Ain't an easy task; put some respek in your prayer warrior wives/sisters
Mfumbe macho mtuombee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom