naipenda hii

whiteseeds

New Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
3
Reaction score
0
siku moja paka na mbwa walikuwa wanapiga stori. ikawa kama hivi
  • paka: mimi nashangaa sana , yani huyu binadamu anatudharau sana maana katika wanyama awafugao wote anawala kasoro mimi na wewe mbwa tuuu !!!
  • Mbwa: oya acha acha ujinga , uwe unatumia akili ukiwa unaongea maneno kama. usije ukaongea msemo huo IRINGA utaniponza mwenzako.
jokes jamani no offence. nawasalimu wote

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…