Afadhali wewe umeweza kutambua faida za CCM na utawala wake.
Wenzako huko upinzani waliishia kupigishwa deki na Lowasa afu hela za ujio wa wake chamani akala Mbowe na genge lake bila kuwapoza na wao kidogo.
Juzi juzi walichangishwa pesa za kuwajazia boda boda mafuta ili wakampokea makamu, wakitarajia kuwa makamu amekuja na fungu kubwa la fedha kutoka ulaya.
Sasa cha kushangaza makamu kaingia mitini bila kuwachia chochote. Hadi wamechanganyikiwa.