Naipenda CCM, Mungu aibariki

Afadhali wewe umeweza kutambua faida za CCM na utawala wake.

Wenzako huko upinzani waliishia kupigishwa deki na Lowasa afu hela za ujio wa wake chamani akala Mbowe na genge lake bila kuwapoza na wao kidogo.

Juzi juzi walichangishwa pesa za kuwajazia boda boda mafuta ili wakampokea makamu, wakitarajia kuwa makamu amekuja na fungu kubwa la fedha kutoka ulaya.

Sasa cha kushangaza makamu kaingia mitini bila kuwachia chochote. Hadi wamechanganyikiwa.
 
Mkuu CCM ni chama chenye fadhila,nadhani mfumo wao wa uongozi unajitosheleza kuanzia ngazi ya chini mpaka juu
 
Ikizingatiwa mnarudishwa kwenye ujamaa vijijini a.k.a Gezaulole kupitia block farms za Bashe. Ajira nje nje.
 
Wewe ndiyo kati ya wale,siku CCM ikitoka madarakani,ndiyo mtajua kumbe duniani kuna jera na mateso
 
Wewe utakuwa chizi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…