J jabulani JF-Expert Member Joined Aug 1, 2015 Posts 5,558 Reaction score 11,763 Feb 12, 2017 #61 Mtukufu atuletee mkuu wa mkoa mwingine, kuna wasukuma wengi tu waliosoma na wenye busara. Wabunge nao watengeneze hoja kwamba wakuu wa mikoa wateule wawe wanathibitishwa na bunge kabla ya kukabidhiwa madaraka.
Mtukufu atuletee mkuu wa mkoa mwingine, kuna wasukuma wengi tu waliosoma na wenye busara. Wabunge nao watengeneze hoja kwamba wakuu wa mikoa wateule wawe wanathibitishwa na bunge kabla ya kukabidhiwa madaraka.
BONGE BONGE JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 3,721 Reaction score 2,110 Feb 12, 2017 #62 Major said: Kwa hiyo unataka kuniambia hata akina Msukuma na Nape ni CHADEMA? Fikiri vizuri Click to expand... Wengine CCJ humo!!!
Major said: Kwa hiyo unataka kuniambia hata akina Msukuma na Nape ni CHADEMA? Fikiri vizuri Click to expand... Wengine CCJ humo!!!
J jose tajiri JF-Expert Member Joined Dec 22, 2015 Posts 778 Reaction score 181 Feb 12, 2017 #63 Tanzania ya matamko