utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Iko dhahiri kabisa hivi sasa kwamba chama chetu hiki kilichowika sana miaka miwili mitatu iliyopita, tena wiko la mazuri kwa mabaya kinaenda kufutika katika siasa za Tanzania kama andiko la penseli.
Nasema haya kwa misingi ya ukweli uwazi na uhuru wa mawazo kwamba ubabe udikteta na upyupyu uliokuwa unafanywa na viongozi wa chama hiki ndio umekuwa kaburi lake rasmi. Tulishuhudia Lowassa akipewa zawadi ya kugombea urais kupitia taasisi hiyo nyeti ya mtu binafsi, kama haitoshi wakawapokea na makapi mengine kibao yaliyokosa mvuto kwenye siasa za ushawishi hapa nchini.
Leo hii hatumuoni wala kumsikia tena Dr wa ukweli, Slaa ambaye alifanya siasa za hoja. Leo hii hatumuoni tena Zitto Kabwe kijana machachari kwenye jukwaa na kwenye hoja. Wamepotea wote waliokuwa ndio msingi wa chama chetu, leo kimekuwa kichaka cha kufika mafisadi na majizi. Ee Mungu wee tuliipenda sana CHADEMA lakini wewe umeipenda zaidi.
Yuko wapi mtembea na sumu mfukoni Ben wa saa Nane???
Nasema haya kwa misingi ya ukweli uwazi na uhuru wa mawazo kwamba ubabe udikteta na upyupyu uliokuwa unafanywa na viongozi wa chama hiki ndio umekuwa kaburi lake rasmi. Tulishuhudia Lowassa akipewa zawadi ya kugombea urais kupitia taasisi hiyo nyeti ya mtu binafsi, kama haitoshi wakawapokea na makapi mengine kibao yaliyokosa mvuto kwenye siasa za ushawishi hapa nchini.
Leo hii hatumuoni wala kumsikia tena Dr wa ukweli, Slaa ambaye alifanya siasa za hoja. Leo hii hatumuoni tena Zitto Kabwe kijana machachari kwenye jukwaa na kwenye hoja. Wamepotea wote waliokuwa ndio msingi wa chama chetu, leo kimekuwa kichaka cha kufika mafisadi na majizi. Ee Mungu wee tuliipenda sana CHADEMA lakini wewe umeipenda zaidi.
Yuko wapi mtembea na sumu mfukoni Ben wa saa Nane???