Nilijichanganya tu miaka sita iliyopita niliajiriwa then ajira zikasitishwa kwa kwa mwaka mmoja baadae tukaambiwa kurudi kituoni mm sikurudi nikijua sitapata check kumbe tayari wameprocess ila nahisi mwajiri alizingua maana waliwapa barua mpya za kuripoti mm sikupata barua na sikuripoti tena .Nenda Utumishi Makao Makuu utaelekezwa. Kwa nini ulikataa /ulisitishiwa ajira mkuu? Hii huwa inasumbua mno kupata ajira serikalini. Wakiingiza tu namba ya cheti kidato Cha nne, check number inasoma na sababu.
Unaajiriwa then ajira inasitishwa ?Nilijichanganya tu miaka sita iliyopita niliajiriwa then ajira zikasitishwa kwa kwa mwaka mmoja baadae tukaambiwa kurudi kituoni mm sikurudi nikijua sitapata check kumbe tayari wameprocess ila nahisi mwajiri alizingua maana waliwapa barua mpya za kuripoti mm sikupata barua na sikuripoti tena .
In short nilifanya interview utumishi nikapangiwa kituo cha kazi kwenye wizara then likatoka tangazo la Rais kusitisha ajira mpya ili waondoe watumishi hewa. Baada ya mwaka wakapata kibali cha ajira mpya ndiyo wakatuita kurudi kituoni mm sikurudi kumbe waliprocess check namba kabisa.Unaajiriwa then ajira inasitishwa ?
How is this even possible in the civil service
Kwa hiyo ulizira ila Sasa unataka tena?In short nilifanya interview utumishi nikapangiwa kituo cha kazi kwenye wizara then likatoka tangazo la Rais kusitisha ajira mpya ili waondoe watumishi hewa. Baada ya mwaka wakapata kibali cha ajira mpya ndiyo wakatuita kurudi kituoni mm sikurudi kumbe waliprocess check namba kabisa.
Mimi nataka wafute check No ili niombe kazi ninayoitakaKwa hiyo ulizira ila Sasa unataka tena?
Omba kutumia check namba hiyo toka kwa katibu mkuu kiongozi akupe kibali.Mimi nataka wafute check No ili niombe kazi ninayoitaka
Kwa hiyo unataka niwe na kifua wakati jambo linaniumiza na msaada sina .Mara nyingi MTU aliyeshiba hamjui mwenye njaaa. Kifua na hill ni Tatizo tayari nikikaa kimya itanisaidia nini!Kitu kama hicho hata haina haja ya kuleta kwenye jukwaa hili. Na umeweka utambulisho kabisa. Huna kifua.
Utaratibu ni kwamba cheki namba ni Moja, ukitaka hiyo kazi nyingine, unaomba kwa kupitisha barua kwa mwajiri wako. Ukipata hiyo kazi nyingine unayoitaka, taarifa zako zinahamishwa.Mimi nataka wafute check No ili niombe kazi ninayoitaka
Amesema hatapata mshahara wa mwezi wa saba(mwezi huu), hajasema kwa miezi 7.Kuna kipindi mtu alikuwa akifaulu kwenda advance basi cheti cha O Level anakipiga noti watu wanakwendanavyo majeshini na sehemu nyingine za kiutumishi.
Mwaswali
1. Uliibiwa lini?
2. Uliripoti police na ulipewa loss report?
3. Kwa kipindi chote ulishindwa vipi kupata cheti kipya? Maana inaonyesha harakati nyingi ulifanya baada ya kuonekana umekosa check number.
Nijibu haya nikusaidie
Kuna kitu unadanganya hutaki kuwa muwazi. Umesema uliripoti mwakajana na huyo mtumishi akafukuzwa kazi, then umesema umeajiriwa mwaka huu mwezi wa 6 na sasa una miezi 7 hujalipwa mshahara.
Je, kutoka Juni mwaka huu mpaka hii Julai mwaka huu ni miezi saba? Ikumbukwe hapo hata mshahara wa July bado
Kuna ukweli humu inabidi afunguke ili asaidiwe haraka.Wewe ULIUZA CHETI hukuibiwa. Sema ukweli usaidiwe.
Ss mbona hili suala halipo upande wakoUtumishi wamejiridhisha kwamba Mimi ndiye sahihi , Shida ni kuipata hiyo cheki namba kwamba itatumia MUDA gani!?
Hujakosea pole Sana dear haki yako utapata tu,kinachouma mtu kutumia cheti Cha mtu wanasababisha shida Sana kwa wenyewe..Kwa hiyo ukiuliza kwa msaada zaidi unakuwa unakosea.Ni kwamba nahitaji msaada zaidi as long as sijaua .Ni kutaka kupata ushauri zaidi
Hujakosea pole Sana dear haki yako utapata tu,kinachouma mtu kutumia cheti Cha mtu wanasababisha shida Sana kwa wenyewe..
Haswa kipindi hiki,naimani utapata tu stahiki zako
In short hapa Kuna ukweli hausemwi.Wewe ULIUZA CHETI hukuibiwa. Sema ukweli usaidiwe.
Nikweli kabisa mkuuIn short hapa Kuna ukweli hausemwi.
Ni aidha aliuza cheti au alinunua cheti.
Na cheti kimoja Cha kidato Cha nne haliwezi kutumika na watu Wawili kama huyo mwingine bado yupo kwenye system au amestaafu Happ lazima mmoja apoteze.
Au Kama ni yeye mwenyewe aliwahi kuwa kwenye Utumishi akaondoka lazima awe mkweli afuate taratibu nyingine.
Na anaposema eti hawezi kuingia kwenye Payroll mwezi huu kwasababu hiyo.
In short, Ni kwamba anaweza kukaaa hata miezi 12 bila kuingia mpaka Hilo suala lake liishe au asiingie Kabisa
Ni kweli kabisa mkuuKuna ukweli humu inabidi afunguke ili asaidiwe haraka.
Halafu kama kweli aliuza ndio aamue sasa kumsaliti aliyemuuzia.
Haya mambo ya kuuza vyeti yalishamiri sana zamani
Haiwezekani kufuta check no.Mimi nataka wafute check No ili niombe kazi ninayoitaka
Hongera kwa kuajiriwa. Siku payroll ikisoma, utukumbuke basi na sisi wenzako tuliokosa ajira kwa mara 5 mfululizo.Nimesema nimeajiriwa mwezi wa 6 mwaka huu, hivyo mwezi wa saba sitaingia kwa payroll