kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mashabiki wa NATO mnapenda sana ushabiki wa kitoto.
Kwani mwaka 2001, USA alivyopata taarifa za Osama kufanya tukio la ugaidi ndani ya ardhi yake, USA alifanya nini!?
Lile shambulizi lilifanywa na marekani yenyewe ili kupata kigezo cha kwenda kumpiga osama