Naimani Mungu atatenda kwa wanaoitafuta haki

Naimani Mungu atatenda kwa wanaoitafuta haki

Cyclopedia

Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
25
Reaction score
41
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi Mungu kwa rehema zake. Kwani bila yeye tusingeweza kufika hapa binafsi mimi ni muumini wa HAKI kwa sababu haki siku zote ndo huleta amani.

Basi kwa imani yangu naamini Mungu wa Isaka, Yakobo, ndiye Mungu wangu mimi pia ivyo kupitia yeye hii vita ya Haki vs Amani basi Haki itashinda.
 
Remember God once wiped out all humans except noah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom