Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

Pascal Mayalla,
Ni haki yako kusema Paskali. nasikitika kuwa huna ubavu wala uthubutu wa kuisema kweli ila baada ya kuzingatia maslahi yako mapana. Kama una ubavu na uthubutu huo basi kwanza ungeanza na kusema ya wale wasiotaka kusemwa, mafisadi, na vichaa, mawe yasiyo nafahamu kuwa hata matumizi ya rushwa na nguvu yana mwisho wake.

Ni kiongozi gani ambaye ameweza kuhimili misukosuko na kuepusha madhira mengi kwa jamii kama Mbowe? Kama ingekuwa wewe katika mazingira inayopitia CHADEMA ungeweza kumaliza hata robo mwaka bila ya kuomba po na kurudi kundini?

Waache CHADEMA waamue yanayowahusu ili hatma yao isitokane na fikra za kifarisayo mamboleo. unaweza kujitafutia mkate kwa njia nyingine zaidi ya hii na ukabakiwa na heshima yako nga kidogo.
 
Mkirindi,
Huyu jamaa ni mmoja wa wadau muhimu sana humu JF, akiamua kuacha kuandika JF itadorora. Ila namshauri akae chini atulie aachane na style ya sasa ya uandishi ambayo mara nyingi ina nia ya kuleta confusion na fitina kama ulivyosema (hasa confusion).

Arudi na mbinu mpya ambayo itajikita kwenye kuelemisha zaidi. Kutokana na uzoefu wake na ukongwe katika fani anaweza kutuletea mada nyingi nzuri iwe ni za kisiasa, kiuchumi, kimfumo huku akifanya mlinganisho na tulikotoka au na nchi nyingine, na kutoa ushauri wake wa kipi anaona kinatufaa.

Ikiwezekana aanzishe hata Youtube Channel lakini asilete mtindo wa kuita watu kwa mahojiano hao wataifanya ipoteze mvuto.
 

Attachments

  • FB_IMG_1576579956614.jpeg
    FB_IMG_1576579956614.jpeg
    34.5 KB · Views: 1
Kwako wewe Pascal kumchagua Mwambe ndio kuishi? Na he tulivyomchagua Magufuli ili kuishi au Kufa? Mimi nadhani kumchagua Mungu peke yake ndio kuishi, labda ubadikishe kichwa cha habari. Pili ungetupa historia ya huyo unaempigia debe, kuhusu kuijenga CDM, ukishindwa basi sisi tutamchagua Mh Mbowe ili tufe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni kwamba CHADEMA CHADEMA wana siasa za ubabe mno

Nafikiri wakivaa yale magwanda wanajiona wote ni Makomando John
sio muda wote wa kukupuuza, unayoyasema kuna muda ni kweli ingawa uwasilishaji wako huwa na ukakasi.
ni kwel.
 
Sasa kweli nmeamin maandiko yetu yanasadifu ulichoandika(Allah anasema yeyote kadir umr wake unavyosonga mbele uwezo wake wa utendaj ktk mambo mbalimbali)kwa hakika uwezo wako wa kufikir unazid kupungua kama c kutoweka kabsa kaka yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
declaration of interest
Naipenda chadema na nimewahi kuwa mwanachama wake kwa muda tu nikiwa mkoani iringa.Ila baada ya kuja ukanda huu wa pwan nikajiweka kando kidogo kwa sababu kadha wa kadha na kadi yangu nikaichana vipande vidogo vidogo nikai flush chooni.

Mtazamo binafsi
kwa hapa ililpo, tukubali tu ukwel kuwa cmd tume stack.sijui sababu has ni nini nadhani mahaba juu ya hiki chama ndio huwa yanatupofusha tulio wengi.but we real nid to do something. we need change though binafsi siamin kama huyu mwamb anaweza akawa mtu sahihi.sina uhakika.Nataman kuona mabadiliko chadema ila nani wa kuvaa viatu vya muheshimiwa freeman ndio bado sina ujasir wa kupendekeza.ile post inahitaji mtu makin sana ..kuoita umakin wenyewe na hili nadhan hata wao linawaumiza kichwa.

system ya ku groom vijana chadema kuwaandaa kuja shika nyadhifa za juu naona kama so far siielewi elewi sasa sijui nayo ndio kwishneii au vp?
Nilikua naipenda Bavicha enzi za Heche na angalau ilikua na matumain ya kutoa viongoz wa baadae lakin sijui mdudu gani alipita pale.Bavicha kwakwel nayo Hoiii bin taaban.
Hali ni mbaya chadema na sio muda wote wa kuinyooshea vidole ccm kam chanzo hali hii.Nadhani mambo mengine tunapaswa kujikagua sis wenyewe ndani.
 
Paskali hata usingewashauri Ni kwamba 2020 Hakuna Mbunge Wala Diwani wa Chadema atakayerudi.

Usipoteze muda Wako kushauri Chama kilichokufa japo Wenyewe hawaamini.
WanaChadema hawana tofauti na Mbuni anayejificha uso wake huku miguu ikiwa Hadharani.
Good riddance and thanks God kutuondolea Jinamizi hili kubwa.
 
Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali
mkuu Pascal Mayalla, mimi siyo Chadema but for once can't you be objective japo kidogo tu hapo kwenye graph ya Chadema kushuka kwa kasi kutokana na Chadema's self infliction?

your conclusion is a very sweeping one, and, there appears to be lack of multidimensional thinking in your analysis leading to the conclusion you have drawn.

mfano mdogo, have you stepped back na ku "factor in" political obstruction inayofanywa na serekali ya awamu ya 5 vs upinzani?
have you tried yo assess this obstruction's impact on the efficiency and hence populace of the political parties in the opposition camp?

unajua kinachoifanya CCM ionekane ina nguvu siyo political legitimacy bali nguvu ya dola?

au ulitaka Chadema & co wa reciprocate kwa kuingia msituni? au ulitaka waanzishe vikundi vya ugaidi kupambana na nguvu ya dola ya CCM?

hivi unatambua kuwa mainstream media outlets zote zimekuwa intimidated na serekali ya awamu ya 5 na hivyo kuondoa fairness and objectivity katika political news coverage? how do you expect Chadema & co kuwa popular?

nilidhani wasomi (kina Kabudi, Pascal, M-Mbabe) wapo kwa ajili ya kuisaidia nchi... but how was I wrong!

hii hapa chini ni ya leo mkuu Pascal Mayalla...

 
Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali
Upumbavu wa kutukuka kwa maslahi ya wananzengo. CHADEMA ni imani siyo mashindano na chama dola. Kalama baho.
 
Wanabodi,
Kichwa cha habari cha bandiko hili kinajieleza wazi, hili likiwa ni bandiko la swali, kuwa Siku Zote Huwa Nailaumu Chadema Kuwa Hawajitambui na Hawajui Wanataka Nini!. Sasa Kesho Chadema Wanafanya Uchaguzi wa Mwenyekiti, Swali ni Jee Sasa Chadema Wanajitambua?, Jee Wanajua Wanataka Nini?...

Katika Uchaguzi wa Kesho wa Mwenyekiti wa Chadema, Kama Chadema Wanajitambua, Watachagua Kuishi, Lakini Kama Bado Hawajitambui Kama Kawaida Yao, Watachagua Kifo!.
Swali ni Jee Chadema Kuchagua Kifo au Kuishi?. Tusubiri Hiyo Kesho Tuone...

Naanza Bandiko Hili na Declaration, Kisha Naleta Justification
Naomba kuanza kwa declaration of interest, mimi Paskali wa Jeiefu, sio mshabiki, mfuasi, au mwanachama wa chama chochote cha siasa, lengo la declaration hii ni kwa ajili ya manazi wa Chadema waliotamalaki humu JF, ambao ukichangia jambo lolote ambalo hawalipendi, watakushukia kwa kukubeza, kwa vile wewe sio Chadema, mambo ya Chadema, yanakuhusu nini?!, hivyo maneno kama "pilipili usioila inakuwashia nini?" hayawezi kukosekana. Naamini kuna Watanzania wengi kama mimi ambao sio wanachama wa chama chochote cha siasa, na kuna wanachama wa vyama vya siasa ambao wako very objective kwa maslahi ya taifa wakiwemo wana CCM ambao wangependa kuona, nchi yetu inapata credible opposition, kwa huku Bara, Chadema ndicho chama pekee kilichoonyesha angalau kinaweza, ila baada ya kutokea huyu game changer aliyabadili the political game, Chadema imeporomoka na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, kama Chadema hawatafanya the right thing now, they are going to be reduced to nothing. Chadema ikifa, sio hasara kwa Chadema na wanachama wa Chadema tuu, ni hasara kwa Taifa na Watanzania kwa ujumla kwa nchi kurejea chini ya mfumo wa chama kimoja which is not good at all kwa majaaliwa ya mustakabali wa taifa letu.

Justification
Kuna justification kubwa moja kwa mtu ambaye sio Chadema kujadili mambo ya Chadema. Chadema kwa vile ni chama cha siasa na kina wanachama, kuna watu wanadhani Chadema ni private party, interms of usajili na kujiunga hivyo ni mali ya wanachama na viongozi wao pekee, no!, Chadema is a public party, nichama cha umma wa Watanzania, na kinaendeshwa kwa kugharimiwa na tax payers money, hivyo ni public party, kwenye kitu kinachoitwa "private property no right to trespass", hii maana yaye ni mali ya mtu binafsi ina kinga ya kisheria ya kutoingiliwa, na hata katika mienendo na maisha binafsi ya watu wakiwemo viongozi, kuna kinga ya kifaragha, "the right to privacy" ambayo haipaswi kuingiliwa, lakini mtu yoyote, au taasisi yoyote inayolipwa with tax payers money, inapoteza hizo kinga zote mbili za private propery na the right to privacy, the tax payers have all the rights to know the public as well as the private conduct of such entity maana nikodi zao!. Kwa vile Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku, hiyo ruzuku ni fedha yako, fedha yangu na fedha yetu as public, hivyo we have all the rights, kujua kila kitu kuhusu Chadema na kutoa maoni yoyote kuhusu Chadema, na ndio maana hesabu za Chadema, zinakaguliwa na CAG.

Hoja za Bandiko hili
Japo Chadema wenyewe hawajikubali na kuukubali ukweli kuwa Chadema hapa kilipofika kama chama kikuu cha upinzani kiko stagnant na graph yake imeanza kushuka kwa kasi ambapo viongozi na wanachama wake wanaojitambua, they are doing the right thing, wengine wanasubiri tuu Bunge livunjwe nao waamue, hivyo wana Chadema kindakindaki wenye misimamo thabiti, walioamua kuifia Chadema, itawabidi wajitambue "Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui, Sijui Sasa Kama Wanajitambua, Hebu na Tusubiri Tuone!".

Hitimisho
Namalizia Kwa Lile Lile Swali la Msingi, Kama Chadema Sasa Wanajitambua, na Wanajua Wanataka Nini, Watamchagua Mwambe, Lakini Kwa Vile Siku Zote Chadema Huwa Hawajitambui!...Then Watamchagua Tena Mhe. Mbowe. Swali Jee Chadema Sasa Wanajitambua na Kujua Wanataka Nini?Au Bado Hawajimbui?,

Tusubiri Tuone!.

Nawatakia Wana Chadema, Uchaguzi Mwema wa Kuchagua Ama Kuendelea Kuishi Ama Kifo!.

Paskali
Duuh! Mkuu umenena mambo mazurisana. Kwa maoni yangu CHADEMA bado kina mhitaji Mbowe kama mwenyekiti. Kwenye upande wa Candidate wa cheo au Position ya Urais no question lazima awe Tundu Lissu ndiyo uchaguzi utapendeza kama wa 2015.

2015 Watanzania hatuna budi kujipongeza sisi wenyewe. Tuliendesha mapambano ya uchaguzi kidemokrasia nzuri sana, sija wahi ona duniani. Ile Rally ilikuwa vute nikuvute kama ya George W. Bush jurnior na Al Gore.

Sasa matatizo ya CHADEMA hawataki kutumia akili badala yake wanataka ku force vitu kwa mabavu. Mimi sipendelei sana methodes wanazotaka kuzitumia hivi sasa za kuwa militant. Hiyo sidhani kama watakuwa na mafanikio makubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipimo cha graff kushuka ilikuwa uchaguzi wa serial za mitaa jambo ambalo ccm kwa kutumia watendaji wa vijiji walilivuruga kisha wakapita woote na wewe unajua vizuri kipimo kingine ni rallies ambazo mhimili umewapiga marufuku sasa Pasco wewe unatumia nini to justify your claim?
 
Back
Top Bottom