siku moja kaa naye,mwangalie machoni mtamkie 'nakupenda sana darling' ......hakikisha naye anakuangalia machoni
Siku moja vua nguo zote ubaki kama ulivyozaliwa, muulize wapi mwenyezi Mungu alikosea? Muulize pia kipi kimebadilika alichokupendea na sasa kimetoweka, usione aibu, behave kiwendawazimu msasambulie kila sehemu halafu ulete majibu hapa.
Kaka,nadhani ule uzi wa bishanga unahusika vile,lol!
Seriously mtoa mada, una miaka 29 ya umri na unasema mumeo hakui! Kwani ana umri gani?
Tatizo lako/lenu mmemwangalia mama Clea kama saint.. Kwanza ulikosea kwenda kwa mtaalamu peke yako. Mara nyingi atakufavor wewe.Nenda na mumeo. Pili,hukusema anachokuchukiza,mfano, ulevi,au uzinzi ambao unaugundua kupitia simu yake,akijisahau na kurudi na condom unapomkagua,ama anaporudi na perfum,peni nzuri,simu,hata zawadi yako ya hereni,mkufu,bangili,n.k. huamini kama kanunua mwenyewe..JF nimeolewa miaka nane iliyopita nikiwa na 21 years old,nimekaa na mme wangu katika ups and down za ndoa ..
Ila mme wangu naona ana mambo mengi ya ujana,dharau na kutojari familia , hakui najaribu kumwelewesha misingi ya ndoa na kumwelewesha pale anapoenda kinyume
lakini inakuwa kazi bure.
Kinachoniuma nadhani nampenda sana mme wangu akinikosea ninaumia hata week nzima siwezi kula ,kulala Napata shida wakati yeye
Anakuwa normal na hana hata muda wa kuomba msamaha.
Nahisi haya mapenzi niliyonayo kwa mme wangu yananiua ama kunipeleka vibaya.
Mtaalam mmoja aliniambia Tatizo langu nina 75% ya penzi kwa mme ,nijaribu kuweka 50/50%
Najitahidi kufanya hivo na ku-ignore yote anayoyafanya ,,mwisho wa siku nashindwa najikuta naendelea kuumia zaidi na kunyongonyea .
Ni mengi anayonikosea.
JF ninawezaje kupunguza haya mapenzi ili niishi kwa Amani?
Nisaidie nakufa siku si zangu..nifundisheni nilipunguze vip hili penzi kwa baba chanja nisiumie
Mama Clea
Tatizo lako/lenu mmemwangalia mama Clea kama saint.. Kwanza ulikosea kwenda kwa mtaalamu peke yako. Mara nyingi atakufavor wewe.Nenda na mumeo. Pili,hukusema anachokuchukiza,mfano, ulevi,au uzinzi ambao unaugundua kupitia simu yake,akijisahau na kurudi na condom unapomkagua,ama anaporudi na perfum,peni nzuri,simu,hata zawadi yako ya hereni,mkufu,bangili,n.k. huamini kama kanunua mwenyewe..JF nimeolewa miaka nane iliyopita nikiwa na 21 years old,nimekaa na mme wangu katika ups and down za ndoa ..
Ila mme wangu naona ana mambo mengi ya ujana,dharau na kutojari familia , hakui najaribu kumwelewesha misingi ya ndoa na kumwelewesha pale anapoenda kinyume
lakini inakuwa kazi bure.
Kinachoniuma nadhani nampenda sana mme wangu akinikosea ninaumia hata week nzima siwezi kula ,kulala Napata shida wakati yeye
Anakuwa normal na hana hata muda wa kuomba msamaha.
Nahisi haya mapenzi niliyonayo kwa mme wangu yananiua ama kunipeleka vibaya.
Mtaalam mmoja aliniambia Tatizo langu nina 75% ya penzi kwa mme ,nijaribu kuweka 50/50%
Najitahidi kufanya hivo na ku-ignore yote anayoyafanya ,,mwisho wa siku nashindwa najikuta naendelea kuumia zaidi na kunyongonyea .
Ni mengi anayonikosea.
JF ninawezaje kupunguza haya mapenzi ili niishi kwa Amani?
Nisaidie nakufa siku si zangu..nifundisheni nilipunguze vip hili penzi kwa baba chanja nisiumie
Mama Clea
Huyo mtaalamu kakudanganya..niulize kwanini?
Mwenyewe baada ya kupost hiyo thread haonekani..
Mwenyewe baada ya kupost hiyo thread haonekani..