Naichukia ndoa yangu..

'Naichukia ndoa yangu' si neno zuri hata kidogo, tema mate chini...nyie mna shida ktk mawasiliano, unataka uwe mwalimu wake naye hataki....pamoja na 8yrs ya ndoa nina mashaka hujawahi fika kileleni?..hebu jibu hili..
 
siku moja kaa naye,mwangalie machoni mtamkie 'nakupenda sana darling' ......hakikisha naye anakuangalia machoni

Siku moja vua nguo zote ubaki kama ulivyozaliwa, muulize wapi mwenyezi Mungu alikosea? Muulize pia kipi kimebadilika alichokupendea na sasa kimetoweka, usione aibu, behave kiwendawazimu msasambulie kila sehemu halafu ulete majibu hapa.
 
Siku moja vua nguo zote ubaki kama ulivyozaliwa, muulize wapi mwenyezi Mungu alikosea? Muulize pia kipi kimebadilika alichokupendea na sasa kimetoweka, usione aibu, behave kiwendawazimu msasambulie kila sehemu halafu ulete majibu hapa.

ushauri ndo huu...
kumbe una akili caro????
 
Kaka,nadhani ule uzi wa bishanga unahusika vile,lol!
Seriously mtoa mada, una miaka 29 ya umri na unasema mumeo hakui! Kwani ana umri gani?

kukua mkuu sio miaka, bali ni kupevuka kiakili ambako hakutegemeani sana na umri. Unaweza kukuta kinda la miaka 17 unajadiliana nae mambo ya maana huku akitoa changamoto na ukashindwa kupata changamoto toka kwa mtu mwenye 25++! Kwangu mimi, huyo 17 ameshakuwa na huyo 25 bado kabisa!!!!
 
JF nimeolewa miaka nane iliyopita nikiwa na 21 years old,nimekaa na mme wangu katika ups and down za ndoa ..
Ila mme wangu naona ana mambo mengi ya ujana,dharau na kutojari familia , hakui najaribu kumwelewesha misingi ya ndoa na kumwelewesha pale anapoenda kinyume
lakini inakuwa kazi bure.
Kinachoniuma nadhani nampenda sana mme wangu akinikosea ninaumia hata week nzima siwezi kula ,kulala Napata shida wakati yeye
Anakuwa normal na hana hata muda wa kuomba msamaha.
Nahisi haya mapenzi niliyonayo kwa mme wangu yananiua ama kunipeleka vibaya.
Mtaalam mmoja aliniambia Tatizo langu nina 75% ya penzi kwa mme ,nijaribu kuweka 50/50%
Najitahidi kufanya hivo na ku-ignore yote anayoyafanya ,,mwisho wa siku nashindwa najikuta naendelea kuumia zaidi na kunyong’onyea .
Ni mengi anayonikosea.
JF ninawezaje kupunguza haya mapenzi ili niishi kwa Amani?
Nisaidie nakufa siku si zangu..nifundisheni nilipunguze vip hili penzi kwa baba chanja nisiumie

Mama Clea
Tatizo lako/lenu mmemwangalia mama Clea kama saint.. Kwanza ulikosea kwenda kwa mtaalamu peke yako. Mara nyingi atakufavor wewe.Nenda na mumeo. Pili,hukusema anachokuchukiza,mfano, ulevi,au uzinzi ambao unaugundua kupitia simu yake,akijisahau na kurudi na condom unapomkagua,ama anaporudi na perfum,peni nzuri,simu,hata zawadi yako ya hereni,mkufu,bangili,n.k. huamini kama kanunua mwenyewe..
Tatu umesema ana ujana. We unaita ujana pengine ni mcheshi sana kwa kila mtu[wake kwa waume].. Ana porojo,utani na vichekesho,ambapo ndivyo unavyompendea lakini hupendi tena kwa sababu anatoa manjonjo yake hayo unapokuwa naye,na mbele za watu wengine,wake kwa waume ambao hufurahi sana na kusikitika mnapoaga na kuondoka eneo hilo.. Kwa maelezo hayaNne,huenda anaporudi huwa unamnunia hata salamu yake huitaki na kugeuka na kulala mzungu wa nne, ili tu ajue kuwa umekasirika..JIULIZE WEWE MWENYEWE UNA TATIZO GANI?NA UTAWEZA TU KULITATUA.
 
JF nimeolewa miaka nane iliyopita nikiwa na 21 years old,nimekaa na mme wangu katika ups and down za ndoa ..
Ila mme wangu naona ana mambo mengi ya ujana,dharau na kutojari familia , hakui najaribu kumwelewesha misingi ya ndoa na kumwelewesha pale anapoenda kinyume
lakini inakuwa kazi bure.
Kinachoniuma nadhani nampenda sana mme wangu akinikosea ninaumia hata week nzima siwezi kula ,kulala Napata shida wakati yeye
Anakuwa normal na hana hata muda wa kuomba msamaha.
Nahisi haya mapenzi niliyonayo kwa mme wangu yananiua ama kunipeleka vibaya.
Mtaalam mmoja aliniambia Tatizo langu nina 75% ya penzi kwa mme ,nijaribu kuweka 50/50%
Najitahidi kufanya hivo na ku-ignore yote anayoyafanya ,,mwisho wa siku nashindwa najikuta naendelea kuumia zaidi na kunyong’onyea .
Ni mengi anayonikosea.
JF ninawezaje kupunguza haya mapenzi ili niishi kwa Amani?
Nisaidie nakufa siku si zangu..nifundisheni nilipunguze vip hili penzi kwa baba chanja nisiumie

Mama Clea
Tatizo lako/lenu mmemwangalia mama Clea kama saint.. Kwanza ulikosea kwenda kwa mtaalamu peke yako. Mara nyingi atakufavor wewe.Nenda na mumeo. Pili,hukusema anachokuchukiza,mfano, ulevi,au uzinzi ambao unaugundua kupitia simu yake,akijisahau na kurudi na condom unapomkagua,ama anaporudi na perfum,peni nzuri,simu,hata zawadi yako ya hereni,mkufu,bangili,n.k. huamini kama kanunua mwenyewe..
Tatu umesema ana ujana. We unaita ujana pengine ni mcheshi sana kwa kila mtu[wake kwa waume].. Ana porojo,utani na vichekesho,ambapo ndivyo unavyompendea lakini hupendi tena kwa sababu anatoa manjonjo yake hayo unapokuwa naye,na mbele za watu wengine,wake kwa waume ambao hufurahi sana na kusikitika mnapoaga na kuondoka eneo hilo.. Kwa maelezo hayaNne,huenda anaporudi huwa unamnunia hata salamu yake huitaki na kugeuka na kulala mzungu wa nne, ili tu ajue kuwa umekasirika..JIULIZE WEWE MWENYEWE UNA TATIZO GANI?NA UTAWEZA TU KULITATUA.
 
Kuna uwezekano Baba Clea ame-login hapa and looks like "Things Have fallen Apart" !!!
 
Back
Top Bottom