Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,415
- 4,869
Pm mshirikina.............
Leo kawa PM.....ma albino anzeni kukimbiaishajua wanao wauwa albino!!!
angalia asikuume maana sumu yake kaliKwa sasa kila tukiomba samaki tunapewa nyoka.
mpwapwa. Ingawa serikali ya tanzania haiamini katika ushirikina wala matambiko, kuna watu mbalimbali na jamii tofauti zinaamini katika mambo hayo mpaka waziri wa kikwete kwa tiketi ya ccm.
Ni kama hadithi, lakini katika tukio la februari 8 asubuhi, naibu waziri ofisi ya waziri mkuu, kassim majaliwa(ccm) alitoa maagizo ya kufanyika kwa tambiko muda mfupi baada ya kuwasili eneo la sekondari ya mpwapwa kwa ajili ya kutoa pole na kuwafariji wanafunzi wa kike ambao bweni lao liliteketea kwa moto.
?kabla sijasema mambo mengi, naomba kuagiza na hili liwe ni agizo kwamba, lazima wazee waje hapa ili kufanya tambiko maana haiwezekani nyoka akageuka kuwa moto. Hii ni ajabu kweli, ndugu zangu, isiwe viongozi wa dini pekee yao tu,? anasema majaliwa.anatoa mfano kuwa katika shule ya sekondari ya mahuta, mkoani lindi kuliwahi kutokea mambo kama hayo, lakini walipoitwa wazee walipita na kuimba na hali ikatulia.
?unaweza kukuta wakaja hapa na kuimba tu na wakitoka mambo yote yanakuwa safi, huenda kuna mzee yupo hai au alishatangulia mbele za haki, lakini ana manung?uniko ya miaka mingi kwamba ardhi yake ilitwaliwa bila ya kulipwa fidia?, anasema hivyo akitolea mfano kuwa katika shule ya sekondari ya mahuta, mkoani lindi yalishatokea kama ya mpwapwa.
Mzee mohammed athuman mwile (86) aliunga mkono wazi la waziri na kusema kuwa kuhusu vifaa tambiko huhitaji kondoo pamoja na nguo nyeusi na kwamba kama watajiridhisha kuwa ni tambiko dogo, hakuna haja ya kufanya yote, bali ni wazee kusema maneno yao tu.
chanzo: mwananchi
Matambiko kila mahali mpaka Ikulu
Duh! Kazi imeanza! Ufukunyuku! Wa mada za zamani kuchafuana