Naibu spika wa Bunge asema bodaboda wanakatisha tamaa kwa kutokuzingatia sheria za barabarani na kusababisha ajali na vifo,ataka wadhibitiwe kisheria

Mimi naona polisi walipoacha kukimbizana na Bodabona ajali zilipungua. Naungana na hoja kuwa wapewe elimu ya usalama barabarani lakini wasifuatwe ovyo ovyo labda kwa makosa ya wazi kabisa kwa mfano mtu anabeba mbao zenye urefu wa futi 12, maana yake wakati wote yyuko anasababisha ajali, anategemea hisani ya haao anaopishana nao au anaowapita. Makosa kama hayo huo akamatwe. Lakini kwamba hana leseni, hana bima hayo tuyaache. Na haya yale ya kubeba mshikaki tuwaache tu maana hiyo imesaidia kupunguza makali ya nauli
Ni kweli inatakiwa Elimu ya kutosha juu ya matumizi ya barabara itolewe kwa waendesha bodaboda hapa nchini,ili kupunguza ajali na hata vifo vinavyotokea maeneo mbalimbali hapa nchini
 
Mimi naona polisi walipoacha kukimbizana na Bodabona ajali zilipungua. Naungana na hoja kuwa wapewe elimu ya usalama barabarani lakini wasifuatwe ovyo ovyo labda kwa makosa ya wazi kabisa kwa mfano mtu anabeba mbao zenye urefu wa futi 12, maana yake wakati wote yyuko anasababisha ajali, anategemea hisani ya haao anaopishana nao au anaowapita. Makosa kama hayo huo akamatwe. Lakini kwamba hana leseni, hana bima hayo tuyaache. Na haya yale ya kubeba mshikaki tuwaache tu maana hiyo imesaidia kupunguza makali ya nauli
Akili za bodaboda unazijua lakini



Ova
 
Yaani nipoteze muda wangu kusoma content zako? Kwa kitu gani ulichonacho? Wewe ni chawa wa chooni ndiyo maana unadharaulika, hutumii akili.

Nikisoma kichwa cha habari tu naacha
Kunguni lucas mwashambwa ndiye member anayedharauliwa na kupuuzwa kuliko wote hapa jukwaani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Naibu spika wa bunge Mheshimiwa Zungu amesema ya kuwa amekuwa mtetezi mkubwa sana wa bodaboda na waendesha bodaboda.lakini amesema ya kuwa matumizi ya bodaboda barabarani tanakatisha tamaa sana.amesema ukienda katika hospitali ya MOI Ambayo inashughulika na wagonjwa wa mifupa utakuta wagonjwa karibu 90% ni wala waliotokana na ajali za bodaboda.

Ametoa rai ya kutaka bodaboda wadhibitiwe kwa sheria na wawe wanasimamishwa pale wanapovunja sheria au kukiuka sheria za barabarani ili kupunguza ajali zinatozotokea na kusababisha ajali na hata vifo.

Rai yangu mimi kama Mwashambwa Lucas nakili wazi kuwa biashara ya uboda boda imeajiri vijana wengi sana wakiwepo hata waliomaliza vyuo vikuu.imesaidia kuwapa wengi ajira na hata kurahisisha usafiri kwa watu wengi sana ,ambao awali ilikuwa ni kazi sana kwa maeneo mengine kufikika.

Ni biashara na shughuli ambayo imewasaidia wengine kusomesha na hata kujisomesha vyuo vikuu,ndio maana huwa napingana sana na kwa nguvu zote kauli ya Godbless lema kubeza kazi ya bodaboda kwa kusema kuwa ni kazi ya laana.

Lakini nakili ya kuwa vijana wengine wamekuwa wakichafua taswira ya biashara hii.kwa kuendesha rafu sana,kutokujali alama za barabarani, kusababisha ajali kizembe na kupelekea kupata majeraha makubwa sana na wakati mwingine vifo kabisa kwa watu hasa abilia na hata watembea kwa miguu pamoja na madereva Wenyewe.

Rai yangu ningewasihi vijana waendesha bodaboda kuzingatia sheria za barabarani,kujali na kuzingatia usalama wao wenyewe wawapo barabarani kwa kuvaa kofia ngumu,kwenda mwendo mzuri, kuendesha kwa tahadhari kubwa na kwa uangalifu mkubwa.lakini pia kujiepusha kuendesha bodaboda wakati wakiwa wamelewa .ni bora mtu anayekunywa pombe akafanya hivyo baada ya kazi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Wapeni vijana ajira,waachane na mabodaboda
 
Ndugu zangu Watanzania,

Naibu spika wa bunge Mheshimiwa Zungu amesema ya kuwa amekuwa mtetezi mkubwa sana wa bodaboda na waendesha bodaboda.lakini amesema ya kuwa matumizi ya bodaboda barabarani tanakatisha tamaa sana.amesema ukienda katika hospitali ya MOI Ambayo inashughulika na wagonjwa wa mifupa utakuta wagonjwa karibu 90% ni wala waliotokana na ajali za bodaboda.

Ametoa rai ya kutaka bodaboda wadhibitiwe kwa sheria na wawe wanasimamishwa pale wanapovunja sheria au kukiuka sheria za barabarani ili kupunguza ajali zinatozotokea na kusababisha ajali na hata vifo.

Rai yangu mimi kama Mwashambwa Lucas nakili wazi kuwa biashara ya uboda boda imeajiri vijana wengi sana wakiwepo hata waliomaliza vyuo vikuu.imesaidia kuwapa wengi ajira na hata kurahisisha usafiri kwa watu wengi sana ,ambao awali ilikuwa ni kazi sana kwa maeneo mengine kufikika.

Ni biashara na shughuli ambayo imewasaidia wengine kusomesha na hata kujisomesha vyuo vikuu,ndio maana huwa napingana sana na kwa nguvu zote kauli ya Godbless lema kubeza kazi ya bodaboda kwa kusema kuwa ni kazi ya laana.

Lakini nakili ya kuwa vijana wengine wamekuwa wakichafua taswira ya biashara hii.kwa kuendesha rafu sana,kutokujali alama za barabarani, kusababisha ajali kizembe na kupelekea kupata majeraha makubwa sana na wakati mwingine vifo kabisa kwa watu hasa abilia na hata watembea kwa miguu pamoja na madereva Wenyewe.

Rai yangu ningewasihi vijana waendesha bodaboda kuzingatia sheria za barabarani,kujali na kuzingatia usalama wao wenyewe wawapo barabarani kwa kuvaa kofia ngumu,kwenda mwendo mzuri, kuendesha kwa tahadhari kubwa na kwa uangalifu mkubwa.lakini pia kujiepusha kuendesha bodaboda wakati wakiwa wamelewa .ni bora mtu anayekunywa pombe akafanya hivyo baada ya kazi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
HAKUNA MWENYE UWEZO WA KUWADHIBITI BODABODA KWANI NI MRADI WA CCM NA VIONGOZI WAKE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom