Anampango wa kugombea ubunge jimbo gani?
Mbeya mjini ni aibu kuteuliwa mara mbili.
Mbaya mjini ni mpaka Sugu aseme basiAnaitaka nchi ya mbeya
Nchi ya Mbeya ambayo Sugu ndio Rais wake?
Yeye haelewei hilo na ndipo atakapoangukia.
Sugu ajiandae kwa fitna na figisufigisu
Sky, is that true siyo asipofanya juhudi huyu mama atamg'oa! Unajua hawa illiterates wanadanganywa na kitu kidogo. Ingelikuwa jumuiya ya wasomi, one could get rest assured kuwa mpaka atake mwenyewe, sio hawa mbumbumbu! Easy to manipulateMbaya mjini ni mpaka Sugu aseme basi
Kwani kutavumbuliwa fitina au figisufigisu mpya ambayo hajawhi kuipitia katika kugombea jimbo la Mbeya mjini?!
Kule wamama ambao ni wapiga kura wanajielewa, rangi ya kijani imebaki kwenye matawi ya miti na mboga wanazokula. Kama Tulia atagombea kupitia CHADEMA labda.Sky, is that true siyo asipofanya juhudi huyu mama atamg'oa! Unajua hawa illiterates wanadanganywa na kitu kidogo. Ingelikuwa jumuiya ya wasomi, one could get rest assured kuwa mpaka atake mwenyewe, sio hawa mbumbumbu! Easy to manipulate
May be!Kule wamama ambao ni wapiga kura wanajiekewa, rangi ya kijani imebaki kwenye matawi ya miti na mboga wanazokula. Kama Tulia atagombea kupitia CHADEMA labda.