Janken jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,125
- 1,178
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu ameanza rasm harakati za kuomba nafasi ya Ubunge Mbeya Mjini ambalo ni Jimbo linaongozwa mtu wa watu, Rais wa mioyo ya watu wa Mbeya, Joseph Mbilinyi.
Tarehe 18/07/18 alikuwa mtaa wa Sae kufanya kikao na umoja wa waendesha bodaboda ukanda wa Sae kwa lengo la kuwajulisha juu ya nia yake ya kuwania nafasi ya Ubunge na kuomba vijana hao nao kumthamini.
Tulia alitumia nafasi hiyo pia kutambulisha taasisi yake ya Tulia Trust pamoja na shughuli zake za kusaidia jamii mikopo yenye riba nafuu ambayo kiukweli ni sawa na sifuri kwani ni 5%. Aliahidi kutunisha mfuko wao bodaboda.
Tulia karibu Mbeya lakini jipime na ujipange. Imani yetu tulio wengi ni juu ya Sugu.
Ukweli ni kwamba mchawi wa CHADEMA(SUGI) mbeya ni CHADEMA(SUGU) wenyewe wajivuruga watawavuraga wananchi mwishowe kupoteza jimbo.ADUI anatafta kila namna apate nafasi kma zile za Arusha na kwingineko watu hasa wawakilishi na wenye nafasi ndani ya chama wamuuunge mkono mh.Magufuli wanashindwa.ile biashara iliyinawira mikoa mingine mbeya imekwama.wakistawisha migogoro basi watakuwa wanaipa nafasi biashara ya kumuunga mkono JPM na kupoteza nafasi walizokuwa nazo kama madiwan na wabunge.Tulia anataman nafasi hiyo.
Tarehe 18/07/18 alikuwa mtaa wa Sae kufanya kikao na umoja wa waendesha bodaboda ukanda wa Sae kwa lengo la kuwajulisha juu ya nia yake ya kuwania nafasi ya Ubunge na kuomba vijana hao nao kumthamini.
Tulia alitumia nafasi hiyo pia kutambulisha taasisi yake ya Tulia Trust pamoja na shughuli zake za kusaidia jamii mikopo yenye riba nafuu ambayo kiukweli ni sawa na sifuri kwani ni 5%. Aliahidi kutunisha mfuko wao bodaboda.
Tulia karibu Mbeya lakini jipime na ujipange. Imani yetu tulio wengi ni juu ya Sugu.
Ukweli ni kwamba mchawi wa CHADEMA(SUGI) mbeya ni CHADEMA(SUGU) wenyewe wajivuruga watawavuraga wananchi mwishowe kupoteza jimbo.ADUI anatafta kila namna apate nafasi kma zile za Arusha na kwingineko watu hasa wawakilishi na wenye nafasi ndani ya chama wamuuunge mkono mh.Magufuli wanashindwa.ile biashara iliyinawira mikoa mingine mbeya imekwama.wakistawisha migogoro basi watakuwa wanaipa nafasi biashara ya kumuunga mkono JPM na kupoteza nafasi walizokuwa nazo kama madiwan na wabunge.Tulia anataman nafasi hiyo.