MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Tulia Ackson ni Mbunge wa kuteuliwa huko Kinondoni, lakini pia ni Naibu spika wa Bunge na kwa Sasa Bunge la Budget linaendelea.
Huyu pia ni mzaliwa wa Mbeya, Mhe.Rais yupo Mbeya na yeye yupo naye kila anapokwenda, nashindwa kuelewa yupo kwa nafasi ya Ubunge wa kuteuliwa Kinondoni au Ni anamwakilisha Spika au ameenda kutembele mkoa aliozaliwa?
Huyu ni kiongozi wa Bunge anaachaje kazi zake? Huu muhimili unatatizo gani awamu hii?
Huyu pia ni mzaliwa wa Mbeya, Mhe.Rais yupo Mbeya na yeye yupo naye kila anapokwenda, nashindwa kuelewa yupo kwa nafasi ya Ubunge wa kuteuliwa Kinondoni au Ni anamwakilisha Spika au ameenda kutembele mkoa aliozaliwa?
Huyu ni kiongozi wa Bunge anaachaje kazi zake? Huu muhimili unatatizo gani awamu hii?