Wala usijiumize mkuu,Wadau, mi naomba kujuzwa. Hivi, Halima Mdee kasema nini kustahili maneno ya kuundi jinsi hii? Je, Spika anapotoa maneno ya kuudhi kuna kanuni zinazo tumika kumuadibisha au yeye youko juu ya kanunu? Naomba nijuzwe wadau kuuliza si ujinga!
Ndugai atapita Kawe kweli?
Anakaa kawe?Ndugai atapita Kawe kweli?
Baada ya kushindwa kutoa uthibitisho kuhusu serikali kuhonga madiwani wa Kigamboni! Wakati naibu spika akitoa hukumu ndipo Halima Mdee (waziri kivuli wa ardhi) akataka kutoa taarifa, Job Ndugai akamzuia kisheria! Ndipo akawaambia wana Kawe kuwa wamechagua kituko! Eti anataka amtoe nje apate umaarufu na aandikwe kwenye magazeti!
My take: Job Ndugai hongera kwa kuua CCM! Janga la taifa
Vikao vitatu na siku tatu nini tofauti yake maana mi nadhani siku tatu za vikao vya bunge ni sawa na vikao vitatu.
Tatizo watu wanakimbilia kupost utadhani wanalipwa na utafikiri wote tuko kwenye hilo tukioNa nyie wana JF wengine mpimwe akili kwa kuandika habari hazina nyama, utafikiri siyo great thnkers, napata usumbufu sana kusoma thread hizi ambazo zinamwacha msomaji in suspence, sisi huku kwetu SOLYA karibu na Manyoni hatuoni TV live mpaka jioni Taarifa ya habari tunawasha generetor
Hivi huwa mna haraka gani? sasa angalia hata kiswahili ulichoandika hakieleweki, rudia tena Ndungulile katolewa inje kwa sababu gani? Tumia kiswahili fasaha.
Nimeandika haraka wakati kitendo kinatokea. Hata hivyo nime-quote kanuni iliyojieleza vizuri zaidi.
Hii ni timing tu walijua wakija kwenye kupitisha mafungu Dr. Ngugulile angewasumbua sana kwa swala la kigamboni ndio maana Ndugai akaanza kutokwa mapovu!!Ni Faustine Ndugulie mbunge wa Kigamboni. Tulizoea kuona wa CHADEMA tu lakini leo tunamuona na wa CCM.
Nimewahi kuwalletea thread maana nimekikuta hicho kitendo ignawa mwanzo wake sikuwepo kwenye TV.
Ndugai katumia kanuni 73{3}:{ Endapo Mbunge yeyote atatakiwa kuthibitisha ukweli wa maneno aliyoyasema na hadi kufikia mwisho wa muda aliopewa, amekataa au ameshindwa kutoa uthibitisho huo, Spika anaweza kumsimamisha Mbunge huyo asihudhurie vikao vya Bunge visivyozidi vitano}
ni mpuuzi kweli! Naona Lissu anaomba nafasi ya kuzungumza ila kabaniwa na umeme umekwenda!