Naibu Spika Anna Makinda ni Dikteta!

YY, nimekubali kuwa kwa vile sababu sio za kisiasa, swali la pili linakuwa rendunty outright, lakini muuliza swali has the right kujibiwa 1. Sababu sio za kisiasa, hivyo Prof. Maghembe amesema Mama Hawa Ghasia muongo au mzushi, na jibu la pili, angejibu kwa vile jibu la kwanza siyo kweli, swali la pili limeshajijibu.
Hivyo kwa walioangalia live, swali la kwanza limekwepwa, lapili halikujibiwa, muulizaji was shunned down.


Nakuelewa Pasco, hapa sasa unaegemea kwenye tabia ya Waziri kwamba kwa nini hakuwa "polite" walau kusema "kwa vile jibu la kwanza siyo kweli, swali la pili limeshajijibu."

Hizo manners Waziri alikosa, nadhani ni mchanganyiko wa U-Prof wake, U-CCM, Cheo na fact kwamba aliyeuliza swali ni Ms Mdee wa Chadema.
 
Pengine tatizo ni kuwa hazijui sheria vizuri ndo maana anashindwa kuzifanyia kazi na inabidi awe mbabe.Mwenzie Six anabukua sana na anakuwa anajua vitu vingi.
.
Mama Makinda, anazijua vizuri sana taratibu, sheria na kanuni za kuliendesha bunge, tatizo ni udikiteta tuu.

Kama Spika Sita ananyozijua na kuzitumia sheria, taratibu na kanuni, japo yeye tatizo lake ni Ubabe tuu wa kuzipindisha baadhi ya kanuni, au kujiundia za kwake kama kwenye lile suala la Mengi na Malima, ripoti kurasa 100, iliyogharimu zaidi ya milioni 100! na uamuzi eti Malima alikosea, anatakiwa amuombe radhi Mengi, na yeye akajitolea kuwaita ofisini kwake kuwapatanisha! sijui kwa kanuni gani?.

Malima alimpuuza Spika kwa vile hakuna kanuni ya Mbunge aliechaguliwa na Wananchi, kumuomba radhi mtu baki kwa matamshi yake aliyoyatoa bungeni, ana kinga, Spika aliipuza hii kinga eti tuu kwa vile mhusika ni mfanya biashara tajiri. Hiyo kanuni ya upatanisho spika iliitoa wapi, alijiundia na kutaka kuipenyeza bungeni.
 
Ubabe wa namna hii unakubalika bungeni kwa kuwa una maslahi ya chama tawala.

Hata kama Naibu Spika angekuwa Mhe. Mch. Dr. Gertrude Lwakatare, angeendeleza ubabe kwa swali la namna hiyo ambalo linagusa itikadi. Nahisi pia kwamba hata kama Naibu Spika angetoka upinzani, na swali likagusa itikadi, basi similar reaction ingetokea.

Dawa ni kumchangua spika na naibu spika asiyetokana na chama chochote.
 
Jamani mimi namwona Mama Makinda ni supa tu katika uongozi wake. Yule mama wala musimseme anafahamu sheria vizuri. Ila wakati mwengine Waheshimiwa Wabunge huwa wanauliza vitu ambavyo vinakuwa nje ya suali la msingi. Na ndipo hapo Mama Makinda huwaelekeza ipasavyo.

Nimewahi kuhudhuria bungeni mara kadhaa na bila ya kuwa kiongozi shupavu pale utaendeshwa mchomo tu.

Sasa mbona Sitta alimfukuza bungeni Mh John Cheyo bila ya sababu ya msingi?
 
Tatizo la Makinda ni inferiority complex, kisomo cha diploma ya uhasibu hakitoshelezi mahitaji ya dunia ya ulimwengu wa Internet!

Mkuu naamini diploma ni kisomo tosha kumpa mtu uwezo wa kuelewa na kuchambua mambo hasa ukiongeza na urefu wa uzoefu wa mtu kama Anna Makinda katika nyanja ya uongozi. Ninawafamu watu wenye kisomo cha ngazi hiyo na hata chini lakini wenye aptitude kubwa kwenye masuala mbalimbali hata kuzidi wenye digrii.

Inferiority complex? inawezekana kabisa ingawa ningependa kuungana na waliosema ni kuwa huu ni UNAZI (ushabiki uliopitiliza) wa kisiasa ndio unaomsumbua; na hii ni kwa yeyote atoaye hoja isiyoipendeza CCM na viongozi wake - awe Halima Mdee, Ole Sendeka, n.k.

Ustaarabu unataka angalau kumpa mbunge sababu za kutokubaliana naye. Nimeiona hii hata kwa baadhi ya mawaziri; huonyesha dharau wanapojibu maswali ya wabunge wa upinzani. Lakini nadhani hawa ni wanasiasa wasio na mkakati wa muda mrefu.
 
Tatizo la Makinda si uzoefu wa uongozi ni kakongwe kale ila tatizo ni Inferiority complex hajiamini sijui ni kutokana na elimu yake au kwa vile yeye ni mwanamke sijui sasa huwa anataka kuonesha na yeye anajua

Hata mwalimu darasani kama hujajiandaa vizuri kwenye kipindi ukiulizwa swali ukiona limekushinda sana sana utakuwa mkali au utamwambia mwanafunzi hilo swali si la topic hii topic yake iko mbele

Hata mimi nimejaribu kumfuatilia huyu mama majibu yake ni ya kubomoa badala ya kujenga hasa anapoulizwa swali asilolijua badala ya kulitolea ufafanuzi au kumuita anayehusika ajibu yeye huwa busara inahama kabisa

Hii si kwa kambi ya upinzani pekee bali hata na wanaCCM wenzake ingekuwa anafanya kwa upinzani tu tungesema labda sababu ni itikadi tofauti lakini naweza kusema tatizo ni uwezo wa kuli handle bunge

hebu angalia comment yake ya jana kuhusu suala la Jerry Muro

Katika swali lake la msingi Hamad ambaye pia ni Mbunge wa Wawi (CUF) alitaka kufahamu iwapo misukosuko anayopata Muro ambaye ni mwandishi wa kituo cha Televisheni ya Shirika la Habari Tanzania (TBC1).......,

Naibu Spika wa Bunge, Anne Makinda kabla ya kumpa nafasi Waziri Mkuu kujibu swali hilo la kwanza kuulizwa katika mfululizo wa maswali yaliyokuwa yamepangwa, alimwambia Hamad, “Bahati yako, halijaenda mahakamani.”

Hebu tujiulize hapa Naibu spika alikuwa na maana gani au lengo gani kama lingekuwa tayari mahakamani angemkalisha chini Hamad au angempa kalipio au angemfafanulia? inavyoonekana ni kama vile anafanya kazi kwa kusubiri mtu akosee amshushue ili aonekane yeye anajua zaidi mbele ya wabunge wenzake

Ndiyo maana nasema tatizo lake si uzoefu bali ni inferiority complex hajiamini mbele ya wabunge huwa ameandaa majibu yake tayari ukienda pembeni na alichojiandaa anakuwa mkali au mbabe period.
 
YY, nimekubali kuwa kwa vile sababu sio za kisiasa, swali la pili linakuwa rendunty outright, lakini muuliza swali has the right kujibiwa 1. Sababu sio za kisiasa, hivyo Prof. Maghembe amesema Mama Hawa Ghasia muongo au mzushi, na jibu la pili, angejibu kwa vile jibu la kwanza siyo kweli, swali la pili limeshajijibu.
Hivyo kwa walioangalia live, swali la kwanza limekwepwa, lapili halikujibiwa, muulizaji was shunned down.


True Pasco,mi nimeangalia, na immediately niliposikia swali la kwanza nikajua hapa watu wameshikwa pabaya

Kinachouma ni the way Naibu spika alivomkalisha chini mheshimiwa Halima Mdee, haikuwa ustaarabu, swali halikujibiwa (la pili at least) na jibu lingeweza kuwa hata hilo ulilouliza halina mantiki lakini inaonekana Prof Maghembe aliamua kujibu tu kisiasa na kibabe ubabe kuwa "mwajiri ana discretion ya kuongeza au kutokuongeza mkataba'.

Kwa kutokugusia hoja ya kisiasa, ina maana moja kwa moja kama ulivosema anamfanya Hawa Ghasia kuwa kasema uongo, na kama angeikubali, ingebidi ajibu swali la pili kama serikali ingekwua tayari kuwasitishia mikataba makada wa chama walioko kwenye system.

Pole sana Mh Mdee!
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa vikao vya Bunge kupitia TBC na Star TV, kuna jambo nilelinote, nikaona sio vibaya nikiwashirikisha wanabodi.

Spika Sita ni mbabe katika uendeshaji wa vikao vya Bunge, lakini wakati anapoikataa hoja au swali, angalau hutoa sababu.

Siku anapoendesha vikao Naibu Spika, sio mara moja wala mara mbili, nimemshuhudia akikataa hoja kwa ubabe tuu au tuseme udikteta bila kutoa sababu.

Mfano hai, ni leo asubuhi katika kipindi cha maswali na majibu, Mbunge wa Viti maalum Chadema, Bi. Halima Mdee, alimuuliza Waziri wa Elimu kuhusu maswali mawili, la kwanza kwanini Prof. Beregu amekataliwa kuongezwa mkataba kwa sababu tuu yeye ni kiongozi Chadema, huku kuna viongozi wengi tuu wa CCM kwenye utumishi wa umma?. La pili, kama Chadema, itampa ushahidi wa majina ya vigogo wa CCM kwenye utumishi wa umma, jee serikali itakuwa tayari kusitisha mikataba yao?.

Waziri wa Elimu, Prof. Magembe kwanza alikwepa swali la kwanza, kwa kutokuzungumzia kabisa sababu za Prof. Beregu kunyimwa mkataba, bali alisema, Prof. Beregu, alishastaafu toka 1999, hivyo mwajiri anao uhuru wa kumuongezea mkataba au hapana. Kwa sasa, mwajiri ameshapata watu wenye uwezo kama wa Beregu, hivyo hahitajiki tena, ndio maana hakupewa mkataba mpya.

Waziri akakaa, Naibu Spika akasema swali linalofuata (Swali jipya), Mdee akasisimama kumwambia Naibu Spika, swali la pili halijajibiwa. Naibu Spika akalazimisha limejibiwa wewe ndio hutaki kukubali. Akamshum dowm Halima Mdee na kuitisha swali linalofuata.

Alichokifanya Naibu Spika, sio tuu ni ubabe, kwa waziri ameulizwa hoja hii, yeye kajibu hoja nyingine, na swali la pili hakulijibu kabisa, bali pale kumlazimishas mbunge kuwa swali limejibiwa na huku halikujibiwa, huu ni zaidi ya ubabe, ni udikteta ndani ya jengo letu la bunge.

Angalizo: Naomba hoja usiwe Anna Makinda as a person, hatu-discuss watu, hoja ni uendeshaji wa taasisi ya Bunge kidikteta, kuzuia freedom of expression na kui-suppress.
Kazi yake kubwa ni kusema "NAOMBA UULIZE SWALI FUPI; NAOMBA UTOE MAJIBU MAFUPI" hata kama jambo ni zito na linahitaji majibu ya kina, kama muda hamna si mfunge bunge? muende mkalale...
 
Kweli wadau mmeona,

Hata mimi sipendezwi huyu Naibu spika. Bora wale wenyeviti kama Jenista Mhagama
We unadhani Sitta alikuwa mjinga alipokuwa anamwambia ASIKURUPUKIE ishu ya Rich Monduli kipindi kileeeeeeeeee! Ni kwakuwa yule mama Ubongo, Akili na Kichwa vina UHASAMA, Havishirikiani
 
YY, nimekubali kuwa kwa vile sababu sio za kisiasa, swali la pili linakuwa rendunty outright, lakini muuliza swali has the right kujibiwa 1. Sababu sio za kisiasa, hivyo Prof. Maghembe amesema Mama Hawa Ghasia muongo au mzushi, na jibu la pili, angejibu kwa vile jibu la kwanza siyo kweli, swali la pili limeshajijibu.
Hivyo kwa walioangalia live, swali la kwanza limekwepwa, lapili halikujibiwa, muulizaji was shunned down.
Code:
Mimi sielewi hawa Raia wanabisha kwa 7bu zipi? Serikali yoyote inayojikontradikti katika maamuzi/maelezo/ufafanuzi wa mambo iliyoyafanya....serikali hiyo ni MUFILISI! Kuanzia MUUNGWANA hadi Mawaziri wake, wote ni MUFILISI
 
.
Mama Makinda, anazijua vizuri sana taratibu, sheria na kanuni za kuliendesha bunge, tatizo ni udikiteta tuu.

Kama Spika Sita ananyozijua na kuzitumia sheria, taratibu na kanuni, japo yeye tatizo lake ni Ubabe tuu wa kuzipindisha baadhi ya kanuni, au kujiundia za kwake kama kwenye lile suala la Mengi na Malima, ripoti kurasa 100, iliyogharimu zaidi ya milioni 100! na uamuzi eti Malima alikosea, anatakiwa amuombe radhi Mengi, na yeye akajitolea kuwaita ofisini kwake kuwapatanisha! sijui kwa kanuni gani?.

Malima alimpuuza Spika kwa vile hakuna kanuni ya Mbunge aliechaguliwa na Wananchi, kumuomba radhi mtu baki kwa matamshi yake aliyoyatoa bungeni, ana kinga, Spika aliipuza hii kinga eti tuu kwa vile mhusika ni mfanya biashara tajiri. Hiyo kanuni ya upatanisho spika iliitoa wapi, alijiundia na kutaka kuipenyeza bungeni.
Naomba tofauti ya maneno hayo kwenye red
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa vikao vya Bunge kupitia TBC na Star TV, kuna jambo nilelinote, nikaona sio vibaya nikiwashirikisha wanabodi.

Spika Sita ni mbabe katika uendeshaji wa vikao vya Bunge, lakini wakati anapoikataa hoja au swali, angalau hutoa sababu.

Siku anapoendesha vikao Naibu Spika, sio mara moja wala mara mbili, nimemshuhudia akikataa hoja kwa ubabe tuu au tuseme udikteta bila kutoa sababu.

Mfano hai, ni leo asubuhi katika kipindi cha maswali na majibu, Mbunge wa Viti maalum Chadema, Bi. Halima Mdee, alimuuliza Waziri wa Elimu kuhusu maswali mawili, la kwanza kwanini Prof. Beregu amekataliwa kuongezwa mkataba kwa sababu tuu yeye ni kiongozi Chadema, huku kuna viongozi wengi tuu wa CCM kwenye utumishi wa umma?. La pili, kama Chadema, itampa ushahidi wa majina ya vigogo wa CCM kwenye utumishi wa umma, jee serikali itakuwa tayari kusitisha mikataba yao?.

Waziri wa Elimu, Prof. Magembe kwanza alikwepa swali la kwanza, kwa kutokuzungumzia kabisa sababu za Prof. Beregu kunyimwa mkataba, bali alisema, Prof. Beregu, alishastaafu toka 1999, hivyo mwajiri anao uhuru wa kumuongezea mkataba au hapana. Kwa sasa, mwajiri ameshapata watu wenye uwezo kama wa Beregu, hivyo hahitajiki tena, ndio maana hakupewa mkataba mpya.

Waziri akakaa, Naibu Spika akasema swali linalofuata (Swali jipya), Mdee akasisimama kumwambia Naibu Spika, swali la pili halijajibiwa. Naibu Spika akalazimisha limejibiwa wewe ndio hutaki kukubali. Akamshum dowm Halima Mdee na kuitisha swali linalofuata.

Alichokifanya Naibu Spika, sio tuu ni ubabe, kwa waziri ameulizwa hoja hii, yeye kajibu hoja nyingine, na swali la pili hakulijibu kabisa, bali pale kumlazimishas mbunge kuwa swali limejibiwa na huku halikujibiwa, huu ni zaidi ya ubabe, ni udikteta ndani ya jengo letu la bunge.

Angalizo: Naomba hoja usiwe Anna Makinda as a person, hatu-discuss watu, hoja ni uendeshaji wa taasisi ya Bunge kidikteta, kuzuia freedom of expression na kui-suppress.

Naunga mkono hoja yako!
 
Sikuijua hii ya elimu ya Mama Makinda, ila hili la inferiority complex kweli linawezekana ndio maana ili kuonyesha kuwa yeye ni mbabe, anaonyesha superiorty.

Sina problem na Mama Makinda kama naibu spika, ila akibishiwa tuu kwa hoja, adrenalin humpanda haraka na hana control nzuri, hivyo udikteta ndio the only weapon in her hand to be used.


Utendaji wa Anna Makinda ni wa kikada siku zote sawa na JK ikifikia kwa CCM Taifa ni la pili kwa wana CCM wote na hasa wabunge CCM mbele na Tanzania nyuma . Ndiyo maana uchaguzi mwaka huu unayakiwa kuwa kufanya changes .Anna hapendi Upinzani kabisa na amejawa na wasi wasi mno.
 
nadhani pia "family integrity" ni muhimu kwa kiongozi yoyote wa ngazi za juu....mara nyingi frustrations za kimaisha (hasa mapenzi) humfanya binadamu kupoteza umakini katika maisha yake ya kawaida....
 
Tatizo la Makinda si uzoefu wa uongozi ni kakongwe kale ila tatizo ni Inferiority complex hajiamini sijui ni kutokana na elimu yake au kwa vile yeye ni mwanamke sijui sasa huwa anataka kuonesha na yeye anajua

Hata mwalimu darasani kama hujajiandaa vizuri kwenye kipindi ukiulizwa swali ukiona limekushinda sana sana utakuwa mkali au utamwambia mwanafunzi hilo swali si la topic hii topic yake iko mbele

Hata mimi nimejaribu kumfuatilia huyu mama majibu yake ni ya kubomoa badala ya kujenga hasa anapoulizwa swali asilolijua badala ya kulitolea ufafanuzi au kumuita anayehusika ajibu yeye huwa busara inahama kabisa

Hii si kwa kambi ya upinzani pekee bali hata na wanaCCM wenzake ingekuwa anafanya kwa upinzani tu tungesema labda sababu ni itikadi tofauti lakini naweza kusema tatizo ni uwezo wa kuli handle bunge

hebu angalia comment yake ya jana kuhusu suala la Jerry Muro

Katika swali lake la msingi Hamad ambaye pia ni Mbunge wa Wawi (CUF) alitaka kufahamu iwapo misukosuko anayopata Muro ambaye ni mwandishi wa kituo cha Televisheni ya Shirika la Habari Tanzania (TBC1).......,

Naibu Spika wa Bunge, Anne Makinda kabla ya kumpa nafasi Waziri Mkuu kujibu swali hilo la kwanza kuulizwa katika mfululizo wa maswali yaliyokuwa yamepangwa, alimwambia Hamad, “Bahati yako, halijaenda mahakamani.”

Hebu tujiulize hapa Naibu spika alikuwa na maana gani au lengo gani kama lingekuwa tayari mahakamani angemkalisha chini Hamad au angempa kalipio au angemfafanulia? inavyoonekana ni kama vile anafanya kazi kwa kusubiri mtu akosee amshushue ili aonekane yeye anajua zaidi mbele ya wabunge wenzake

Ndiyo maana nasema tatizo lake si uzoefu bali ni inferiority complex hajiamini mbele ya wabunge huwa ameandaa majibu yake tayari ukienda pembeni na alichojiandaa anakuwa mkali au mbabe period.

Lets put like that.... kwa vile wabunge waliomweka pale hawaoni tatizo lolote.... ina maana anafanya kazi yake vizuri...
 
Tatizo la Makinda si uzoefu wa uongozi ni kakongwe kale ila tatizo ni Inferiority complex hajiamini sijui ni kutokana na elimu yake au kwa vile yeye ni mwanamke sijui sasa huwa anataka kuonesha na yeye anajua

Naibu Spika wa Bunge, Anne Makinda kabla ya kumpa nafasi Waziri Mkuu kujibu swali hilo la kwanza kuulizwa katika mfululizo wa maswali yaliyokuwa yamepangwa, alimwambia Hamad, “Bahati yako, halijaenda mahakamani.”

Hebu tujiulize hapa Naibu spika alikuwa na maana gani au lengo gani kama lingekuwa tayari mahakamani angemkalisha chini Hamad au angempa kalipio au angemfafanulia? inavyoonekana ni kama vile anafanya kazi kwa kusubiri mtu akosee amshushue ili aonekane yeye anajua zaidi mbele ya wabunge wenzake

Ndiyo maana nasema tatizo lake si uzoefu bali ni inferiority complex hajiamini mbele ya wabunge huwa ameandaa majibu yake tayari ukienda pembeni na alichojiandaa anakuwa mkali au mbabe period.
.
Kwenye hii statement, “Bahati yako, halijaenda mahakamani.” naomba nimtete Mama Makinda, she was right, alikuwa anaepuka "contempt of the court" kwa kutoruhusu kujadili jambo ambalo tayari liko mahakamani.
 
Sometimes inabidi hao wakuu wetu wa tasisi nyeti kama Bunge wawe na kisomo cha kutosha na siyo Diploma then unakuwa Naibu spika, mama ana Jazba ile mbaya na mbaya zaidi anazionyesha wazi wazi, bunge ni tasisi ya watanzania wote na siyo kwamba yeye kushika hiyo nafasi anaweza sana au she is best, la hasha, kuna watanzania wengi sana wenye uwezo wa kuifanya hiyo kazi tena kwa ufanisi wa hali ya juu sana, sisi watanzania ndo tunalipa kodi zetu kwa hiyo ni jambo la kutumia busara tu kutumia madaraka yao kwa manufaa ya watanzania na siyo vinginevyo.Badilika uwe mfano mzuri mbele ya jamii ya watanzania.
 
Ajabu si Makinda tatizo ni serekali yenye majibu ya kupishana. Ghasia anasema wamekataa kumuongezea muda Prof. Baregu ni kiongozi wa chadema na Maghembe anasema mkataba umeisha na hawamuhitaji tena inatisha zaid kuliko udikteta wa Anna.
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa vikao vya Bunge kupitia TBC na Star TV, kuna jambo nilelinote, nikaona sio vibaya nikiwashirikisha wanabodi.

Spika Sita ni mbabe katika uendeshaji wa vikao vya Bunge, lakini wakati anapoikataa hoja au swali, angalau hutoa sababu.

Siku anapoendesha vikao Naibu Spika, sio mara moja wala mara mbili, nimemshuhudia akikataa hoja kwa ubabe tuu au tuseme udikteta bila kutoa sababu.

Mfano hai, ni leo asubuhi katika kipindi cha maswali na majibu, Mbunge wa Viti maalum Chadema, Bi. Halima Mdee, alimuuliza Waziri wa Elimu kuhusu maswali mawili, la kwanza kwanini Prof. Beregu amekataliwa kuongezwa mkataba kwa sababu tuu yeye ni kiongozi Chadema, huku kuna viongozi wengi tuu wa CCM kwenye utumishi wa umma?. La pili, kama Chadema, itampa ushahidi wa majina ya vigogo wa CCM kwenye utumishi wa umma, jee serikali itakuwa tayari kusitisha mikataba yao?.

Waziri wa Elimu, Prof. Magembe kwanza alikwepa swali la kwanza, kwa kutokuzungumzia kabisa sababu za Prof. Beregu kunyimwa mkataba, bali alisema, Prof. Beregu, alishastaafu toka 1999, hivyo mwajiri anao uhuru wa kumuongezea mkataba au hapana. Kwa sasa, mwajiri ameshapata watu wenye uwezo kama wa Beregu, hivyo hahitajiki tena, ndio maana hakupewa mkataba mpya.

Waziri akakaa, Naibu Spika akasema swali linalofuata (Swali jipya), Mdee akasisimama kumwambia Naibu Spika, swali la pili halijajibiwa. Naibu Spika akalazimisha limejibiwa wewe ndio hutaki kukubali. Akamshum dowm Halima Mdee na kuitisha swali linalofuata.

Alichokifanya Naibu Spika, sio tuu ni ubabe, kwa waziri ameulizwa hoja hii, yeye kajibu hoja nyingine, na swali la pili hakulijibu kabisa, bali pale kumlazimishas mbunge kuwa swali limejibiwa na huku halikujibiwa, huu ni zaidi ya ubabe, ni udikteta ndani ya jengo letu la bunge.

Angalizo: Naomba hoja usiwe Anna Makinda as a person, hatu-discuss watu, hoja ni uendeshaji wa taasisi ya Bunge kidikteta, kuzuia freedom of expression na kui-suppress.

- Mkuu sana Pasco, here we go again, eti sheria ya jamhuri kuhusu Spika na kuendesha bunge inasemaje kuhusu kitendo alichokifanya Naibu Spika, maana kwangu hii ishu inaonekana kuwa ni ya sheria zaidi kuliko ubabe wala siasa, tukiweza ku-establish kifungu cha katiba kilichovunjwa hapo kwa kitendo cha Naibu Spika, basi tunaweza kulisaidia sana sio taifa tu, bali hata yeye mwenyewe Naibu Spika na the future Spikas.

- Sasa kama inawezekana tafadhali sana kwa kuwa wewe ni mfuatiliaji mzuri sana wa vikao vya bunge kama ulivyosema mwenyewe, basi tusaidie hili la katiba na Spika/Naibu Spika, ndipo Great Thinkers tunaweza kutafakari na kufanya a deep analysis kuhusu ishu, maana hapo kama ulivyosema ishu sio Anna Makinda, isipokuwa ni nafasi ya Spika, as an institution ndani ya mihimili mitatu ya our Federal Government!

- Mambo kama haya kwa maoni yangu yanahitaji sana muongozo wa kisheria ya jamhuri, kuliko kujadili blindly kama zile za Yanga na Simba, au? Maana kumuita Naibu Spika kuwa ni dikteta, ni kauli kubwa sana katika National Politics, sasa ni vyema tukawa na a back up hasa ya kikatiba!

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom