Nimesikitishwa na habari kuwa kikao cha Bunge ambacho kilipaswa kufanyika leo saa 11 jioni kiliahirishwa, kwa sababu ya kukosekana kwa watendaji wa serikali. Hii inatisha sana, inaonyesha waheshimiwa mko Dodoma kutembea. Fanyeni kilichowapeleka Dodoma, acheni kutumia muda vibaya, huo ni ubadhirifu. Angalieni umaskini wa nchi hii ambao unasababishwa uzembe kama huo.
SITANII.
SITANII.