Nahitaji Web Designer, wa kunitengenezea Professional Website.

Nahitaji Web Designer, wa kunitengenezea Professional Website.

Mjasiriamali M

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
142
Reaction score
69
Habari za leo wakuu. kama heading inavyojieleza, najua Watanzania wapo waliosomea na kubobea katika hilo, hivyo basi mwenye ujuzi na utaalamu wa kile nnachokihitaji nnaomba tuwasiliane tafadhali, hii itajumuisha na kunidesignia logo ya hiyo site. Natanguliza shukrani.
 
Nimekupata mkuu, natengeneza professional looking website @ just Tsh 300,000

Keep in mind, the said amount covers full website deasigning and one year hosting with FREE domain name

Baada ya mwaka mmoja utaendelea kulipia Tsh 108,000 hosting fee with (FREE domain) kwa mwaka

My exsting clients are radiotz.com, anovatz.com, afps2013.org and many more

Keep in touch with me through alphonce@alphonce.net OR just call 0767659145

Habari za leo wakuu. kama heading inavyojieleza, najua Watanzania wapo waliosomea na kubobea katika hilo, hivyo basi mwenye ujuzi na utaalamu wa kile nnachokihitaji nnaomba tuwasiliane tafadhali, hii itajumuisha na kunidesignia logo ya hiyo site. Natanguliza shukrani.
 
Mjasisirmali, kwanza nikupongeze kwa kuchukua uamuzi mzuri kuweka tangazo lako hapa. What this does ni kuruhusu ushindani in terms of quality and price. Ukiwa makini process hii itakuwezesha kupata mtu makini kukufanyia kazi yako. Well done.

Mimi ni mtaalam wa Software Engineering. Nafanya kazi kwenye kampuni iitwayo Provoke Digital ltd. Our website: home page. Napenda ufahamu kwamba nimehusika kwa asilimia kubwa sana kutengeneza website hii ya kampuni. In my spare time huwa nawatengenezea watu websites. Moja ambayo nimeimaliza mwezi huu: Diversity Health and Social Care na nyingine: watanzania Uk | Together we can!. Sina haja ya kujieleza sana ila ukitaka kujua ubora wa kazi zangu pitia websites hizo. Utaona jina langu kwa chini.

Kama unahitaji kazi ya ki-professional yenye international standard kwa bei nzuri na kwa mahusiano mazuri (friendly relationship) basi umenipata. Wasiliana namimi: goodygem@hotmail.com. You will not be disappointed.
Siwezi kukupa bei hapa kwa sababu sijui maelezo ya kina kuhusu website unayohitaji hivyo wasiliana na mimi ili tulifanyie kazi.

Asante.
 
Back
Top Bottom