Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

Nahitaji watu wenye kujua mambo ya CGI na VFX, mengine soma chini

Idrisajr

Member
Joined
Jan 15, 2018
Posts
7
Reaction score
7
Habari wana JF na wapenzi wa movies

Tasnia yetu imekuwa na matatizo mengi kwa upande wa utengenezaji filamu lakini wengi wetu hatujajua tatizo ni nini.

Lakini tatizo kubwa ni mapato yanayoingia kupitia filamu hizo ikifuatiwa na wawekezaji. Kwa Tanzania sijaona hiyo kitu kampuni au mtu binafsi kuwekeza kwenye movie ya mtu na hii inatokana na kuhofia hasara kwani unakuta unatengeneza movie kwa gharama ya millioni 20 (mfano) na ukija kuiingiza sokoni inaingiza millioni 10 (mfano).

Naamini hamna mtu anaependa hasara na ndio maana movie zetu zimekuwa ni za hali ya chini sana. Tumeichoka hali hii lakini je tunachukua hatua gani kutoka hapa tulipo na kutengeneza movie zinazoeleweka?

Naamini wengi mtajiuliza kuna haja gani ya kuwekeza20 ili upate 10 hiyo ni ndoto lakini ukumbuke kuwa hakuna atakae wekeza kwenye project mbovu au isiyo na ubora kwahiyo nini kifanyike ili tuweze kumshawishi huyo muwekezaji awekeze kwenye tasnia ya filamu tz.

Tunarudi pale pale kuwa ni lazima ufanye kitu kizuri ili uweze kuwavutia watu.
Naamini kidole ki1 hakivunji chawa hivyo wale wenye idea na vitu hizi wanichek naamini kwa pamoja tunaweza kufanya kitu

vfx editor
locations manager
matte painter
sound editor/creator
kama unajua kutumia hizi prog pia ni msaada
after effects
nuke
Maya
blender
cinema 4d
premiere pro
Photoshop
side fx
eyeon fusion
pf track
....................................
Idris - 0684842325
Telegram
Thats my Idea
 
Mkuu....Mimi natarajia kuingia katika filamu rasmi mwezi ujao (wa pili) na kati ya vitu vinavyoniumiza kichwa ni wapi nitakuja kupata MTU anayeifahamu blender kwa ufanisi... Napenda kuja kutengeneza filamu nzuri...
 
Mkuu....Mimi natarajia kuingia katika filamu rasmi mwezi ujao (wa pili) na kati ya vitu vinavyoniumiza kichwa ni wapi nitakuja kupata MTU anayeifahamu blender kwa ufanisi... Napenda kuja kutengeneza filamu nzuri...
Uko mkoa gani?
 
Nimekuelewa mkuu, umetembea mle mle ni kweli tasnia ya movie watu wanaogopaq sana kuwekeza, mimi binafsi nafanya VFX & Motion graphic design, 3D generalists, and Animation Film nipo facebook, instagram, twitter na you tube kwa jina langu.

Natafuta watu wanaoweza kufanya haya mambo seriously, hakuna haja ya kuwa individual wakati tunaojua ni wachache sana. Na kiukweli hakuna mtu anaeweza kutazama movie isiyokuwa na effects ama ikiwa na efrfects mbovu zama hizi, ambapo hata zamani movie zenye effects ndiyo zilitamba sana, sasa ni kazi kwetu kutengeneza effects zilizo bora sana ili tuwafanye watu wanaopenda movie kuwekeza.

Ila ningependa kufahamu are you a bigginer? if not what are you?
 
Nimekuelewa mkuu, umetembea mle mle ni kweli tasnia ya movie watu wanaogopaq sana kuwekeza, mimi binafsi nafanya VFX & Motion graphic design, 3D generalists, and Animation Film nipo facebook, instagram, twitter na you tube kwa jina langu.

Natafuta watu wanaoweza kufanya haya mambo seriously, hakuna haja ya kuwa individual wakati tunaojua ni wachache sana. Na kiukweli hakuna mtu anaeweza kutazama movie isiyokuwa na effects ama ikiwa na efrfects mbovu zama hizi, ambapo hata zamani movie zenye effects ndiyo zilitamba sana, sasa ni kazi kwetu kutengeneza effects zilizo bora sana ili tuwafanye watu wanaopenda movie kuwekeza.

Ila ningependa kufahamu are you a bigginer? if not what are you?
Mzee baba, hata Mimi Niko interested na haya mambo na nilishawasiliana na mtoa mada ila changamoto niliyonayo Mimi ni ukosefu wa kamera. Ngoja niendelee na kuigiza kwanza huenda nikapata uwezo wa kupata vifaa.
 
Mzee baba, hata Mimi Niko interested na haya mambo na nilishawasiliana na mtoa mada ila changamoto niliyonayo Mimi ni ukosefu wa kamera. Ngoja niendelee na kuigiza kwanza huenda nikapata uwezo wa kupata vifaa.


Hakuna tatizo ila kama unakuwa na tatizo unauliza kwani hapa wote tupo kujifunza zaidi.
 
Hakuna tatizo ila kama unakuwa na tatizo unauliza kwani hapa wote tupo kujifunza zaidi.
Mimi nilikuwa na wazo kuwa tukifika hata wanne watano hivi tutengeneze ka group ili tuwe tunashare video tunazozitengeneza ili tuwe tunarekebishana. Ni maoni yangu lakini.
 
Mimi nilikuwa na wazo kuwa tukifika hata wanne watano hivi tutengeneze ka group ili tuwe tunashare video tunazozitengeneza ili tuwe tunarekebishana. Ni maoni yangu lakini.

Mimi nilikuwa na wazo kuwa tukifika hata wanne watano hivi tutengeneze ka group ili tuwe tunashare video tunazozitengeneza ili tuwe tunarekebishana. Ni maoni yangu lakini.


Yah ni wazo zuri sana kwani mi nina group la VFX kwenye facebook na pia ingekuwa vizuri na huku tufanye hivyo kama unavyosema hakuna ubaya ni tunaelimishana tu. Tupo pamoja sana lengo ni kuelimishana. Tengeneza hilo group kisha niunge fresh.
 
Yah ni wazo zuri sana kwani mi nina group la VFX kwenye facebook na pia ingekuwa vizuri na huku tufanye hivyo kama unavyosema hakuna ubaya ni tunaelimishana tu. Tupo pamoja sana lengo ni kuelimishana. Tengeneza hilo group kisha niunge fresh.
Kwa sawa wewe uko dar au dom
 
Wewe unataka kuwa video editor au unataka kuwa msanii?
Mimi kwa sasa naigiza ila natamani kufanya kazi zinazohusisha Vfx, sasa kwa kuwa watu wengi wanaogopa kuingia huko najikuta nalazimika nijue haya mambo pia ili nipate urahasi, ila kama nikipata mtu anayejua haya mambo nitabaki kuwa muigizaji na kujifunza taratibu taratibu Vfx ili ikifika wakati tuwasaidie na wengine hapo baadaye. Yaani kwa ufupi labda niseme kwa sasa nataka kuigiza ila nataka nijifunze kuwa editor taratibu taratibu ili ukifika muda Fulani niache kuigiza kabisa ili niwe editor Tu.
 
Mimi kwa sasa naigiza ila natamani kufanya kazi zinazohusisha Vfx, sasa kwa kuwa watu wengi wanaogopa kuingia huko najikuta nalazimika nijue haya mambo pia ili nipate urahasi, ila kama nikipata mtu anayejua haya mambo nitabaki kuwa muigizaji na kujifunza taratibu taratibu Vfx ili ikifika wakati tuwasaidie na wengine hapo baadaye. Yaani kwa ufupi labda niseme kwa sasa nataka kuigiza ila nataka nijifunze kuwa editor taratibu taratibu ili ukifika muda Fulani niache kuigiza kabisa ili niwe editor Tu.

Upo mkoa gani sasa,
 
Mimi kwa sasa naigiza ila natamani kufanya kazi zinazohusisha Vfx, sasa kwa kuwa watu wengi wanaogopa kuingia huko najikuta nalazimika nijue haya mambo pia ili nipate urahasi, ila kama nikipata mtu anayejua haya mambo nitabaki kuwa muigizaji na kujifunza taratibu taratibu Vfx ili ikifika wakati tuwasaidie na wengine hapo baadaye. Yaani kwa ufupi labda niseme kwa sasa nataka kuigiza ila nataka nijifunze kuwa editor taratibu taratibu ili ukifika muda Fulani niache kuigiza kabisa ili niwe editor Tu.
Mrejesho??
 
Back
Top Bottom