Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 437
- 715
Hello guys..
Naombeni wataalamu WA Ujenzi au MTU yeyote mwenye uzoefu wa Maswala ya Ujenzi anisaidie mawazo tafafhali.
1. Ninakiwanja ila kina slope (Nafanyaje ili kufanya ujenzi rahisi?)
2. Je! Naanzaje kwa kiwanja kilicho mbali namakazi yangu sina maji ingawa majirani kadhaa wanayo ila nimepata kiwanja katika ya majirani wenye majivuno kila mtu na geti lake ukigonga kuongea nao hawana muda na dharau nyingi.. Nawaza nikiweka hata tofali sizitaibiwa na watu maana siishi uko.
3. Naombeni ushauri naanzaje ujenzi wa 3rooms house
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni wataalamu WA Ujenzi au MTU yeyote mwenye uzoefu wa Maswala ya Ujenzi anisaidie mawazo tafafhali.
1. Ninakiwanja ila kina slope (Nafanyaje ili kufanya ujenzi rahisi?)
2. Je! Naanzaje kwa kiwanja kilicho mbali namakazi yangu sina maji ingawa majirani kadhaa wanayo ila nimepata kiwanja katika ya majirani wenye majivuno kila mtu na geti lake ukigonga kuongea nao hawana muda na dharau nyingi.. Nawaza nikiweka hata tofali sizitaibiwa na watu maana siishi uko.
3. Naombeni ushauri naanzaje ujenzi wa 3rooms house
Sent using Jamii Forums mobile app