Angalia lakini kuwa makini usije kutapeliwa!!Mwenye kuuza Vitz iwe vizuri,gearbox,engine na body safi.Number c. 0789747452 Tuma sms
Zingatia sana hapo kwenye gearbox...nyingi zina huo ugonjwaMwenye kuuza Vitz iwe vizuri,gearbox,engine na body safi.Number c. 0789747452 Tuma sms
Pssco unamaana ushuru,msnunuzi,na Usafiri ni 5.5?Agiza Be Forward mpaka TZ na Ushuru ni 5.5 but takes 14-30 days
Pasco
Ndio trust MeAsanteni, mnaonishauri kuagiza Japan, budget yangu ni 6m to, itawezekana kweli
Tra ushuru upo juu sana hakuna gari yenye ushuru chuni ya mil 4.angalia.www.tra. then check calculatorAsanteni, mnaonishauri kuagiza Japan, budget yangu ni 6m to, itawezekana kweli
Pssco unamaana ushuru,msnunuzi,na Usafiri ni 5.5?
Sio kweliAgiza Be Forward mpaka TZ na Ushuru ni 5.5 but takes 14-30 days
Pasco
Paso yenyewe nikiagiza itanigharimu kias gan?Agiza Be Forward mpaka TZ na Ushuru ni 5.5 but takes 14-30 days
Pasco
Asanteni, mnaonishauri kuagiza Japan, budget yangu ni 6m to, itawezekana kweli
Agiza Be Forward mpaka TZ na Ushuru ni 5.5 but takes 14-30 days
Pasco
***unatakaKwahiyo kama unatala kuanga vitz toka japan bila stress bajet yk isipungue 8Mil
Aisee mwaka huu MTU akinunua Gari MPE heshima zakeKununua na kuleta Vitz Dar Port si chini ta 4M na ushuru si chini ya 3.5M