Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,214
- 128,974
Pole Sana, utakufa nacho!.Wewe ni wakupuuzwa na kuogopwa sana.
Pasco
Pole Sana, utakufa nacho!.Wewe ni wakupuuzwa na kuogopwa sana.
Yani siku ukitaka Gari nenda Mnada wa TRA aisee upate gariDah!! Kwaiyo mkuu bei ya ushuru inakaribiana na bei ya ununuz wa gari? Hii ni hatari sana means ushuru usingekuwepo mtu ungeweza kununua hata magari ma 2
HahaPole Sana, utakufa nacho!.
Pasco
Pole Sana, utakufa nacho!.
Pasco
Hakuna atakayeishi milele! ,kila aliyezaliwa, mwisho wa siku lazima atakufa!. Wewe utakufa, mimi nitakufa na kila mtu atakufa. Siku utakapo kufa wewe, utakufa nacho! .Siwezi kufa,uzuri ni kila siku unazidi kudhihirisha umbumbu wako.
Hakuna atakayeishi milele! ,kila aliyezaliwa, mwisho wa siku lazima atakufa!. Wewe utakufa, mimi nitakufa na kila mtu atakufa. Siku utakapo kufa wewe, utakufa nacho! .
Pasco



Making, budget ipo kidogoOngeza hapo uchukue Raum new model 9.8 M.. iko vizuri sana, pimped.. sporty tires, metallic silver, nambar C.. no dents.... iko kali sana..!!
Mkuu nikupmNgoja nikuulizie kuna jamaa yangu alisema anaiuza yeke imetumika mwaka mmoja tu
Ni PM ili nikipata jibu la uhakika nikupe mrejesho mkuu
Asanteni, mnaonishauri kuagiza Japan, budget yangu ni 6m to, itawezekana kweli