Nahitaji viti vya shule used

Nahitaji viti vya shule used

ladyfocus

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
968
Reaction score
711
Jamani nataka kuanzisha kicentre naombeni mwenye vile viti vya darasani aniuzie kwa bei ya used hata vya kurepea nitanunua mimi nipo Arusha Kama kuna mtu alifunga shule yake anaweza kuniuzia pia. Thnx
 
jamani nataka kuanzisha kicentre naombeni mwenye vile viti vya darasani aniuzie kwa bei ya used hata vya kurepea nitanunua. Mimi nipo arusha. Kama kuna mtu alifunga shule yake anaweza kuniuzia pia. Thnx
vyenye kimeza itapendeza zaid
 
Back
Top Bottom