Closed_Mind
Member
- Mar 14, 2017
- 19
- 10
Shukran sana kaka. Hakika umenipa mwongozo mzuri..Huyo Anjuani anapatikana mtaa upi hapo kariakoo?Nenda mbozi road karibu na Vita fom kiwanda kinaitwa Zentaza plastic hii mifuko utaipata. Hivi vingine nenda kariakoi ulizia jamaa anaitwa Anjuani utapata mwanzo mzuri. Ukikosa ni pm
Shukran kiongozi..nilihitaji pia kufaham wapi wanatengeneza hiyo mifuko maana logo tayari ninayo.Hii mifuko Ukienda na logo yako unatengenezewa
Asante mkuu.Mambo hizi zinapatikana sana supermarkets mbalimbali
Asante sanaKariakoo sokoni kuharibu na hivi vibanda vipya kwa nje kwa ndani kuna viosk ww muulizie Anzuan
Fanya hivyo mdau nitashukuru sanaMifuko ni hicho kiwanda nilichokuambia kama uko bize mm naweza kukuulizia bei na wanazalisha kuanzia mingapi
centaza kwa anayeanza gharama inakuwa kubwa kiasi kwa kuwa unalipia na vibao (kibao kimoja tshs. 600,000/=) ila si mbaya aende pia akishindwa hapo ajaribu omar packaging industrial ltd.Mifuko ni hicho kiwanda nilichokuambia kama uko bize mm naweza kukuulizia bei na wanazalisha kuanzia mingapi
Mkuu hao centaza wako wapi?centaza kwa anayeanza gharama inakuwa kubwa kiasi kwa kuwa unalipia na vibao (kibao kimoja tshs. 600,000/=) ila si mbaya aende pia akishindwa hapo ajaribu omar packaging industrial ltd.
Mku ulifanikiwaWadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninaomba kufahamishwa ni wapi kwa hapa Dar es Salaam nitapata vifungashio vya mikate (sehemu ya kuprint mifuko) na keki. Naambatanisha picha za baadhi ya vifungashio vya keki ninavyohitaji...
Ninatanguliza shukran za dhati kwa yeyote ataeguswa na kunipa msaada.
Karibuni: