Nahitaji vifaranga wa kienyeji

Nahitaji vifaranga wa kienyeji

Mhache

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2008
Posts
345
Reaction score
27
Ndugu wadau wa ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nimefurahishwa sana na watu wanavyojishughulisha na ufugaji wa kuku hasa wa kienyeji. Mimi nimenza mradi huu kama miezi mitatu sasa. Nina kuku watano (mitetea) na jogoo mmoja. Umbo la kuku wangu ni dogo. Ninaomba kama kuna mtu mwenye vifaranga/kuku wa kuanzia mwezi na kuendelea tuwasiliane ili aniuzie. Nahitaji kama watano wa kuanzia. Ninaishi Mbezi Luis, njia ya kuelekea Mpiji Magoe. Kikazi ni maeneo ya Biafra Kinondoni. Nitashukuru
:flypig:
 
sikiliza wapo redio huko huko unako kaa kunasehemu wanauza vifaranga unavyohitaji panaitwa Conteinar wana tangaza sana mida ya asubuhi
 
Back
Top Bottom