Nahitaji ushauri wenu!

Jilanga

JF-Expert Member
Feb 13, 2011
255
40
Kama ilivyo kawaida kwa kijana awaye yote kuingia katika mahusiano ya kimapenzi kwa ajili ya ku-make family! Ni takribani miaka miwili iliyopita nilijaribu kuwa karibu na binti mrembo ili niweze kumfahamu zaidi tabia na mwenendo kwa ujumla, kabla sijamtamkia/kumwomba rasmi uchumba, Hata hivyo ilikuwa mapema mno kwa she was at O'level kwa maana kwamba kahitimu form iv last year! Baada ya kuhitimu matokeo yake hayakuwa mazuri! Kutoka na urembo na maadili alokuwa nayo alivuta wanaume wengi na hivyo nilipata taarifa kuwa anamchumba na anamtafutia center ya kuresit paper ikiwa ni pamoja na gharama za mitihani! Na kikubwa zaidi ameshamtambulisha home kwao!

Cha ajab binti amekuwa akinitafuta mara kwa mara akinitaka 2we wachumba! Nikimuliza juu ya mchumbake ananiambi alijikuta amefanya maamuzi potovu kutoka na stree za paper kwan baada ya kutulia alitokea kumtoa moyo kadri siku zinavyozidi kwenda kutoka na kupata skendo kibao za msela na kanihakikishia kuwa wana muda hawana mawasiliano, na kuwa anahisi yeye ni moja ya mbavu zangu! Ki ukweli mi nampenda sana!

Je wanajamvin as critical thinkers, I'm waitin 2hear from u, what should I do?
 
Kicheche hicho. Lkn kuwa makini kama aliweza mtosa huyo anayemhudumia kila ki2 hata ww atakutosa. Inshort yaliyomkuta jamake wa mwanzo na ww yatakukuta.
 
Kicheche hicho. Lkn kuwa makini kama aliweza mtosa huyo anayemhudumia kila ki2 hata ww atakutosa. Inshort yaliyomkuta jamake wa mwanzo na ww yatakukuta.
Thanks Dullah 4 ur contribution! I'll work on it!
 
Kama ilivyo kawaida kwa kijana awaye yote kuingia katika mahusiano ya kimapenzi kwa ajili ya ku-make family! Ni takribani miaka miwili iliyopita nilijaribu kuwa karibu na binti mrembo ili niweze kumfahamu zaidi tabia na mwenendo kwa ujumla, kabla sijamtamkia/kumwomba rasmi uchumba, Hata hivyo ilikuwa mapema mno kwa she was at O'level kwa maana kwamba kahitimu form iv last year! Baada ya kuhitimu matokeo yake hayakuwa mazuri! Kutoka na urembo na maadili alokuwa nayo alivuta wanaume wengi na hivyo nilipata taarifa kuwa anamchumba na anamtafutia center ya kuresit paper ikiwa ni pamoja na gharama za mitihani! Na kikubwa zaidi ameshamtambulisha home kwao! Cha ajab binti amekuwa akinitafuta mara kwa mara akinitaka 2we wachumba! Nikimuliza juu ya mchumbake ananiambi alijikuta amefanya maamuzi potovu kutoka na stree za paper kwan baada ya kutulia alitokea kumtoa moyo kadri siku zinavyozidi kwenda kutoka na kupata skendo kibao za msela na kanihakikishia kuwa wana muda hawana mawasiliano, na kuwa anahisi yeye ni moja ya mbavu zangu! Ki ukweli mi nampenda sana! Je wanajamvin as critical thinkers, I'm waitin 2hear from u, what should I do?
Inatakiwa umtizame kwa karibu lakn nenda nae mkapime afya ili uchumba wenu uwe na amani,lakn mkuu muhimize asome zaidi
 
Unajua ni ngumu kujua ukweli wake. coz hawa wa2 unakuta anakuja kwako kumbe katibuana na mchizi au yaweza kuwa kazimia mkwanja sio cc2 ndio 2napenda hata wao wana2tamani kwa njia 1 au nyengine. kuwa makini nae na kama m2ndu na wa2 hawa jaribu kumpa vimitihani vya apana pale kumpima ukweli wake. afya muhimu ndugu. nakutakia safari njema ya malavidav
 
Unajua ni ngumu kujua ukweli wake. coz hawa wa2 unakuta anakuja kwako kumbe katibuana na mchizi au yaweza kuwa kazimia mkwanja sio cc2 ndio 2napenda hata wao wana2tamani kwa njia 1 au nyengine. kuwa makini nae na kama m2ndu na wa2 hawa jaribu kumpa vimitihani vya apana pale kumpima ukweli wake. afya muhimu ndugu. nakutakia safari njema ya malavidav
Asante sana Mkuu! Lakini ungenipa hints juu ya hivyo vimitihani vya hapa na pale!
 
Mahusiano yoyote, yana ups and downs, ndo maana tunatakiwa kumshirikisha sana Mungu mambo haya. Amani iamue moyoni mwako, yawezekana kweli ni majaribu tu yalivamia uhusiano wenu, so ukitulia utajua ukweli ni upi na maisha yataendelea.
 
LD, Ahsante kwa ushauri wenye busara! Lakini pia nahitaji maombi yako juu ya hii!
 
.....kamaliza form 4 last year, mbona bado mdogo kuwaza mambo ya uchumba. Nadhani labda ndio kwanza ana 18 years old........kama unampenda mwambie akazane kusoma mapenzi baadaye.
 
Kama ilivyo kawaida kwa kijana awaye yote kuingia katika mahusiano ya kimapenzi kwa ajili ya ku-make family! Ni takribani miaka miwili iliyopita nilijaribu kuwa karibu na binti mrembo ili niweze kumfahamu zaidi tabia na mwenendo kwa ujumla, kabla sijamtamkia/kumwomba rasmi uchumba, Hata hivyo ilikuwa mapema mno kwa she was at O'level kwa maana kwamba kahitimu form iv last year! Baada ya kuhitimu matokeo yake hayakuwa mazuri! Kutoka na urembo na maadili alokuwa nayo alivuta wanaume wengi na hivyo nilipata taarifa kuwa anamchumba na anamtafutia center ya kuresit paper ikiwa ni pamoja na gharama za mitihani! Na kikubwa zaidi ameshamtambulisha home kwao!

Cha ajab binti amekuwa akinitafuta mara kwa mara akinitaka 2we wachumba! Nikimuliza juu ya mchumbake ananiambi alijikuta amefanya maamuzi potovu kutoka na stree za paper kwan baada ya kutulia alitokea kumtoa moyo kadri siku zinavyozidi kwenda kutoka na kupata skendo kibao za msela na kanihakikishia kuwa wana muda hawana mawasiliano, na kuwa anahisi yeye ni moja ya mbavu zangu! Ki ukweli mi nampenda sana!

Je wanajamvin as critical thinkers, I'm waitin 2hear from u, what should I do?
Hapo kwenye red, mwangalie kwa undni huyo mtoto, mwenyewe unakiri kwamba ni ajabu
 
Pretty ni kweli she is about 18 but the problem anasumbuliwa kiasi cha kukosa msimamo! Istoshe kwao sio mambo safi kivile! Lakini kumbuka Marriage ina step like Dating, Engagement then marriage it cost almost 3yrs! So she 'll be 21yrs! Au unasemaje!
 
Pretty ni kweli she is about 18yrs but the problem anasumbuliwa na wanaume kiasi cha kukosa msimamo! Istoshe kwao sio mambo safi kivile! Lakini kumbuka Marriage ina steps like Dating, Engagement then marriage which costs almost 3yrs! So she 'll be 21yrs! Au unasemaje!
 
Pretty ni kweli she is about 18 but the problem anasumbuliwa kiasi cha kukosa msimamo! Istoshe kwao sio mambo safi kivile! Lakini kumbuka Marriage ina step like Dating, Engagement then marriage it cost almost 3yrs! So she 'll be 21yrs! Au unasemaje!

Demu bado mdogo, na kwa kizazi cha sasa kwa umri huo hawezi kukuambia jambo la kueleweka yaan mtapotezeana muda tu.. watoto wa siku hz mambo mengi. kama muoaji kweli nenda kijijini katafute mchumba..acha mbwembwe
 
[aQUOTE=pumbatupu;2254671]Demu bado mdogo, na kwa kizazi cha sasa kwa umri huo hawezi kukuambia jambo la kueleweka yaan mtapotezeana muda tu.. watoto wa siku hz mambo mengi. kama muoaji kweli nenda kijijini katafute mchumba..acha mbwembwe[/QUOTE] Asante sana Mkuu! Kijijini nagopa yalimkuta Prof J kipindi kileee "Nikusaidieje"?
 
Actually mi nahisi tusimchukulie sana huyo binti kicheche, koz kwa maelezo yako anadai kama alifanya maamuzi bila kushirikisha sana ubongo ukizingatia maumivu na stress. Kusumbuliwa kwa demu mkali ni kawaida na ushukuru demu wako anafuatwa, ikitokea ana msimamo na amekupa moyo wake 100% una bahati. Fanya utafiti.
 
Actually mi nahisi tusimchukulie sana huyo binti kicheche, koz kwa maelezo yako anadai kama alifanya maamuzi bila kushirikisha sana ubongo ukizingatia maumivu na stress. Kusumbuliwa kwa demu mkali ni kawaida na ushukuru demu wako anafuatwa, ikitokea ana msimamo na amekupa moyo wake 100% una bahati. Fanya utafiti.
Umenena vyema mkuu! Japo sijawa karibu naye takribani 4months but I hope she is not prst as such! Let take an ample time 4 further investigation!
 
Huyo kweli mkali yupo kwenye mtihani yet anafanya maamuzi ya mapenzi kama sjaelewa vile
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom