SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,936
Huyo dogo ni mjinga sana aisee!Kwenye mkeka hiyo tunaita ni BOTH TEAMS TO SCORE, kiujumla wewe na huyo mume wa huyo mwanamke madishi yenu yameyumba, unakomaa na demu ambae anatoka na jamaa lililooa? Acha utani mkuu, kanisani huko tunaombewa tujitokeze kama upepo wa kisulisuli halafu wewe unamkazia msuli mala.ya
1. Yaani anachezea moto mkali kwa mke wa mtu?
2. Yaani anajua demu analiwa na jamaa, lakini eti anataka ushauri tena!!??? Aisee wajinga ni wengi sana.
Sijui anataka agundue nini? Eti nime-prove kaliwa na jamaa!
Kwangu mimi siyo hadi nikufumanie,wala ku-prove unatoka na nani!
Dalili tu za kucheat nakuacha mapema sana. Kama akiwa ni mke wangu nikijua hilo tu unakwenda kwenu na ukigoma, unakwenda kwa kipigo cha mbwa koko au utaziona gunia mbili za mkaa najua utasepa tu.
Ke wako kibao mtaani na kazini na makanisani wamesubiria upepo wa kisulisuli, wewe unakosa raha kisa ka mwanamke kamoja.
Pumbaaavu kabisa.