Nahitaji ushauri wenu nateseka kimawazo...

Nahitaji ushauri wenu nateseka kimawazo...

Leon jeaph

Member
Joined
Mar 9, 2019
Posts
88
Reaction score
82
Wakuu habarini za saiz naandika uzi huu nikihitaji mawazo yenu kwani nipo njia panda na nashidwa kujua nifanye nin labda mawazo yenu yaweza nijenga kifikra.

Bila kupoteza muda ipo hivi, Nimekuwa na mahusiano kwa zaidi ya miaka miwili na nusu na huyu binti ila amenifanyia haya miezi minne imepita sasa huyu binti nilihisi ananicheat maana tabia ilibadilika na kweli nilimfuma anachat na kuwasiliana na jamaa uflani kwa mara nyingi. Nilimkanya na ziku zikaenda baada ya visa kadhaa nilimkuta analumbana na mwanamke mmoja kwenye simu yake na mazungumzo yao ilikuwa huyu binti analaumiwa na mke wa mtu akimwambia achana na mume wangu na anamharibia ndoa.

Kweli nilipeleleza nikajua yule jamaa ndie anatoka na demu wangu na ana mke na amemfumania. Jambo hili likaniumiza nikaomba likizo ya week nikatoka nje ya mkoa kupumnzika niliporudi nilionana na demu wangu na nilimkuta bado analumbana na yule dada, nikachukua namba za yule dada na baada ya muda nikamtafuta akanieleza kila kitu na ukweli ni kwamba mpenzi wangu alitoka na jamaa na akasex nae mara moja na hio siku nilijua na niliandika na wakati huyu dada ananiambia nikaprove.

Sasa yule dada tulizungumza sana na kuwasiliana kwa wiki kadhaa ila akanikopa fedha kiukweli sikumpa ila nilikuwa nayo siku nyingine akanilaumu kuwa ana shida ilibidi nimsaidie ila ndio mwanzo wa tatizo hili,mambo yalikuwa mengi ila nilijikuta naingia katika mapenzi na mke wa yule jamaa na tulisex mwisho wa siku demu wangu alijua na akaprove na alikwenda kumwambia yule mume wa huyo dada na kwa kuwa huyo jamaa ananifahamu alinitafuta na mimi nikamsikiliza ila nikamwambia mimi sijamfuata mkeo wala nilikuwa simjui ila wewe ndie chanzo maana umetembea na demu wangu na ndio maana haya yametokea.

Aliomba msamaha na mimi nikasamehe. But mpaka sasa mke wa jamaa ananisumbua anahitaji kuwa na mimi karibu na tuwe rafiki,pia yule demu wangu ananiomba msamaha lakini pia ananilaumu kwanini nimelipa kisasi kile.

Kiukweli huyu binti nampenda sana.

Wakuu naomba mnishauri, Je nimuache huyu demu wangu na yule mke wa jamaa nimfuate yeye na mumewe niwaeleze na kuwa sihitaji,au nipeleke kesi kwa wazazi wao au rafiki zao wa karibu au nitafute mpenzi mwingine kama Mungu atapenda au nifanye nin ili nafsi yangu itulie?

Naona hali hii mbaya hadi inanitatiza kazini hata sasa hivi usiku huu 01:30am nipo kazini ila nina mawazo sana hata kupumnzika nashidwa.

Naomba ushauri wako.
 
Kwenye mkeka hiyo tunaita ni BOTH TEAMS TO SCORE, kiujumla wewe na huyo mume wa huyo mwanamke madishi yenu yameyumba, unakomaa na demu ambae anatoka na jamaa lililooa? Acha utani mkuu, kanisani huko tunaombewa tujitokeze kama upepo wa kisulisuli halafu wewe unamkazia msuli mala.ya
 
Graph ya mapenzi iko hivii, Mapenzi yakiwa makubwa kwa mtu Akili inakua kidogo na akili ikiwa kuubwa mapenzi yanakua kidogo. Vitu vyote vimewekwa duniani katika scale of balance. Kimoja kikixidi kingine basi hua shida ndio maana mwilini mwako vitu vyote viko balance ukipunguza au kuzidisha kitu basi tunakutoa kwenye uasili wa binadamu.

Sema na moyo wako mkuu, wewe ni mwanaume penda kiasi akili ndio ionhoze moyo..Wanawake ndio hupenda mazima.
Play smart in every move u do in the life.
-The hunger for love will lead you to Depression and stress
 
Duh kwaiyo unajua mbunye yako imeliwa na mtu mwingine na unayo tu dhh. Nyinyi ndo wale mnatuma na yakutolea hahahahaha
 
Utakuwa na matatizo makubwa ya kimahusiano wewe jamaa. Tangu ujiunge humu nyuzi zako ni za vilio vya mapenzi tuu. Yani unaonekana uko too hopeless kwenye mambo ya kimahusiano.

Hata mwanamke atakayekuwa na wewe inabidi awe ni type ya wale walokata tamaa ya kupata mtu mwenye staha zake. Type ya wanawake wanaokufaa wewe ni wale wanaotegemea upepo wa kisulisuli.








Cc: Unforgetable
 
Nyie ndio wanaume wepesi mnaobebwa na upepo wa kisulisuli.

Mwanaume gani unahangaika kizembezembe hivi?

Screenshot_20191016-024420~2.jpeg
Screenshot_20191016-024436.jpeg
Screenshot_20191016-024205.jpeg
Screenshot_20191016-024337.jpeg
 
Hv una mda wa kuwaza mapenz kwel,ebu nenda ukajiandikishe upige kura tar 24 mwez wa 11
 
Kweli dunia imegeuka kabisa..... ule wivu wa kiume siku hizi mmeupotezea wapi?
 
[QUOTE="Leon jeaph, post: 33150848, ]

niliporudi nilionana na dem wang na nilimkuta bado analumbana na yule dada..nikachukua namba za yule dada na baada ya muda nikamtafuta akanieleza kila kitu na ukweli ni kwamba mpenz wangu alitoka na jamaa na akasex nae mara moja na hio siku nilijua na niliandika nawakati uyu dada ananiambia nikaprove...sasa yule dada tulizungumza sana na kuwasiliana kwa week kadhaa ila akanikopa fedha kiukweli sikumpa ila nilikuwa nayo siku nyingine akanilaumu kuwa anashida ilibidi nimsaidie ila ndio mwanzo wa tatizo hili,mambo yalikuwa mengi ila nilijikuta naingia katika mapenz na mke wa yule jamaa na tulisex mwisho wa siku dem wangu alijua na akaprove na alikwenda kumwambia yule mume wa uyo dada na kwakuwa huyo jamaa ananifahamu alinitafuta na mimi nikamsikiliza ila nikamwambia mimi sijamfata mkeo wala nilikuwa simjui ila wew ndie chanzo maana umetembee na dem wangu na ndio maana haya yametokea aliomba msamaha na mimi nikasamehe..but mpaka sasa mke wa jamaa ananisumbua anahitaji kuwa na mimi karibu na tuwe rafiki,pia yule demu wangu ananiomba msamaha lakini pia ananilaumu kwanin nimelipa kisasi kile,
[/QUOTE]

Kwangu, hii ndio habari. Ila inanishangaza binti kumlaumu mshikaji kulipa kisasi.

Baharia, kwangu ni kumwaga mpenzi wangu. First option ni mke wa jamaa, nikiona hafai ndo nitafute mwingine

Bazazi
 
Hapo kilichopo ni kutengeneza ndoa ya watu wa nne. Wanawake wawili na wanaume wawili, kwa sababu wewe huwezi kuachana na mke wa jamaa na jamaa hawezi kuachana na dem wako.
 
Hapo kilichopo ni kutengeneza ndoa ya watu wa nne. Wanawake wawili na wanaume wawili, kwa sababu wewe huwezi kuachana na mke wa jamaa na jamaa hawezi kuachana na dem wako.
Kwahyo inakuaje au ndo group sex😃
 
Wakuu habarini za saiz naandika uzi huu nikihitaji mawazo yenu kwani nipo njia panda na nashidwa kujua nifanye nin labda mawazo yenu yaweza nijenga kifikra..bila kupoteza muda ipo ivi
Nimekuwa na mahusiano kwa zaidi ya miaka miwili na nusu na huyu binti ila amenifanyia haya miezi minne imepita sasa huyu binti nilihisi ananicheat maana tabia ilibadilika na kweli nilimfuma anachat na kuwasiliana na jamaa flani kwa mara nyingi nilimkanya na ziku zikaenda baada ya visa kadhaa nilimkuta analumbana na mwanamke mmoja kwenye simu yake na mazungumzo yao ilikuw huyu binti analaumiwa na mke wa mtu akimwambia achana na mume wangu na anamharibia ndoa..kweli nilipeleleza nikajua yule jamaa ndie anatoka na dem wangu na anamke na amemfumania jambo hili likaniumiza nikaomba likizo ya week nikatoka njee ya mkoa kupumnzika niliporudi nilionana na dem wang na nilimkuta bado analumbana na yule dada..nikachukua namba za yule dada na baada ya muda nikamtafuta akanieleza kila kitu na ukweli ni kwamba mpenz wangu alitoka na jamaa na akasex nae mara moja na hio siku nilijua na niliandika nawakati uyu dada ananiambia nikaprove...sasa yule dada tulizungumza sana na kuwasiliana kwa week kadhaa ila akanikopa fedha kiukweli sikumpa ila nilikuwa nayo siku nyingine akanilaumu kuwa anashida ilibidi nimsaidie ila ndio mwanzo wa tatizo hili,mambo yalikuwa mengi ila nilijikuta naingia katika mapenz na mke wa yule jamaa na tulisex mwisho wa siku dem wangu alijua na akaprove na alikwenda kumwambia yule mume wa uyo dada na kwakuwa huyo jamaa ananifahamu alinitafuta na mimi nikamsikiliza ila nikamwambia mimi sijamfata mkeo wala nilikuwa simjui ila wew ndie chanzo maana umetembee na dem wangu na ndio maana haya yametokea aliomba msamaha na mimi nikasamehe..but mpaka sasa mke wa jamaa ananisumbua anahitaji kuwa na mimi karibu na tuwe rafiki,pia yule demu wangu ananiomba msamaha lakini pia ananilaumu kwanin nimelipa kisasi kile,kiukweli huyu binti nampenda sana...wakuu naomba munishauri je nimuache uyu demu wangu,na yule mke wa jamaa nimfate yeye na mumewe niwaeleze na kua sihitaji,au nipeleke kesi kwa wazazi wao au rafiki zao wa karibu au niataute mpenzi mwingine kama mungu atapenda au nifanye nin ili nafsi yangu itulie naona hali hii mbaya hadi inanitatiza kazini hata saivi usiku huu 01:30am nipo kazini ila namawazo sana hata kupumnzika nashidwa,naomba ushauri wako matusi hapana asanteni.
hapo hauna demu uyo ni M-PESA
 
Kwenye mkeka hiyo tunaita ni BOTH TEAMS TO SCORE, kiujumla wewe na huyo mume wa huyo mwanamke madishi yenu yameyumba, unakomaa na demu ambae anatoka na jamaa lililooa? Acha utani mkuu, kanisani huko tunaombewa tujitokeze kama upepo wa kisulisuli halafu wewe unamkazia msuli mala.ya
Jamaa ilitakiwa afanye CLEAN SHEET sasa jamaa alishamuwahi.
 
Back
Top Bottom