Ni kweli nipo sawa kisheria lakini kama unavyojua mahakama zetu zinachukua mda kumaliza shauri na wanatumia fursa kupandikiza chuki kwa watoto dhidi yangu mm baba mzazi
Ni kweli nipo sawa kisheria lakini kama unavyojua mahakama zetu zinachukua mda kumaliza shauri na wanatumia fursa kupandikiza chuki kwa watoto dhidi yangu mm baba mzazi
Kote huko nimeenda ila wanasema nisubiri kesi iliopo mahamani hawawezi kuliingilia hilo jambo. Mm naangalia mda unaotumika mahakamani na chuki wanayopandikiza kwa watoto dhidi yang ni hatari
Kote huko nimeenda ila wanasema nisubiri kesi iliopo mahamani hawawezi kuliingilia hilo jambo. Mm naangalia mda unaotumika mahakamani na chuki wanayopandikiza kwa watoto dhidi yang ni hatari
wana taka mgao hizo mali mlichuma wote? usha wa andika watoto ina tosha wanataka nini zaidi? au kuna kitu kina cho endelea chini kwa chini labda wanahisi uta uza mali na kutokomea kusiko julikana.
Hapo oa binti mmoja kati yao.
Ni vile ukoo wa mke umeshindwa kukuomba umwoe binti meingine kwao wanatumia njia hiyo.
Ukifanya hivyo utaiokoa familia yako (watoto haswa).
Kote huko nimeenda ila wanasema nisubiri kesi iliopo mahamani hawawezi kuliingilia hilo jambo. Mm naangalia mda unaotumika mahakamani na chuki wanayopandikiza kwa watoto dhidi yang ni hatari
Vp vibali vyako vya uhamiaji vyote viko sahihi!!?? Isije kua una vibali Magumashi ndiyo maana wanaamua kukuchezesha gwaride, maana Mimi Kama Mimi wangeondoka wenyewe kutokana na life yetu ya kibongo,Sasa wwe lazima utakua mtasha wao!!