Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Kaka, MOVE ON, usipende kulazimisha penzi, halaf penzi la upande mmoja linachosha, halaf una moyo kuruhusu akawe na jibaba ukishuhudia lol huyo n pasua kichwa atakusumbua huko mbele
Asante sana Dada yangu
 
Move on with your life Mkuu hizi drama za huyo Malaya hazikusaidii chochote kile sana sana utaishia lupango.

 
Kweli kbs watu wengi walishaniambia kwamba huyu sio Mwanamke, amerithi karibu kila kitu kutoka kwa Mama yake.
Sometimes mapenzi yanawablind watu sana,kuna mtu unaweza kuona kapotea kabisa,ukamshari lakini akakuona wewe ndo hupendi mahusiano yao,mkuu hapo huna mtu
 
Mm sikulaumu ndivyo mapenzi yalivyo, hata mm huwa napenda kwa staili yako, even mke nliye naye tulipitia drama kama zako, nikazuiliwa kumwoa. Ila kwa sasa katulia but mm nimekuwa kicheche zaidi ya alivyokuwa.
 
Asante kwa ushauri Mkuu
 
In short mapenzi yenu mlivyoyaanza mliyaanza vibaya sana yaan unatomba hadharan na yy anatombwa hadharan. So kuoana itakuwa ni kazi bure. Nakushauri kimbia kwa speed ya standar gauge. Ukioa huyo atakutesa kuliko anavyokutesa saiz
Asante kaka
 
Pole sana Mkuu... naomba huu msemo uuelewe vizuri kabisa "Malaya ni malaya tu hata umfadhili vipi hawezi badilika kamwe "....

Ushauri wangu kwako ni wewe kumfungia vioo na uanze kujifunza kuyaenjoy maisha ukiwa mwenyewe....

Ni hayo tu kwa leo mkuu...
 
Inshort umefall kwa changu aisee,halafu acha kupenda hovyo mimi kama katibu wa chama cha wanaume nimesema usipende pende hovyo,tutakuja kukuaga pale leaders club,kwa hili ulilofanya nakupa yellow card!
Kweli kabisa Bro, nimefail wala Hakuna ubishi, ndio maan nimekuja kwenu mnisaidie kimawazo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…