Nakataa kama nimetengenezwa kwa sababu kuna ahadi sijamtimizia na hela sio kama sina, sasa kama angekuwa amenitengeneza ningemtimizia, hicho ndicho kinachonipa nguvu ya kukataa kama amenichezeaUmesha tengenezwa hapo
Najipa moyo huenda akabadilikaAisee mkuu una moyo wa aina ya kipekee hapo bado unaomba ushauri wa nn tena huyo ni changu lala mbele
Kwanza nabatilisha roho ya umauti unayoitaja, kingine nimekuwa muwazi ili niweze kusaidia, huenda kuna watu wakawa wamepitia wakati mgumu kama wanguUngekuwa karibu yangu ningekuzaba makofi kumi akili ikirudie!! Acha upumbavu tena naongea Kwa maneno makali acha upumbavu! Mwanamke anatiwa na vidume na wewe unajua na yeye anajua tena mbele yako unakuja kuomba ushauri? Acha ujinga . Halafu unakutana na malaya unaachana nae unaenda kuchukua malaya wengine wa nne tena mbele,! Upumbavu kabisa huo! Huyo sio mwanamke wa kuoa na Wala wewe sio mwanaume wa kuoa mwanamke yeyote yote hadi utakapoyarudia mafundisho ya mama yako na baba yako juu kuwa Mume Bora! Muache Mara moja ukiendelea hivyo tutakuzika mwaka huu huu wakati bado tunakuhitaji
Hujioni unafuatwa na roho ya mauti mpendwa,umesahau methali ,7 kuhusu mausia ya kumuepuka malaya! Nilijokutahadharisha na nimeongea Kwa ukali ni kukuona upo njia panda Kwa mtu unayejua ni kahaba tena bado huna maamuzi.Kwanza nabatilisha roho ya umauti unayoitaja, kingine nimekuwa muwazi ili niweze kusaidia, huenda kuna watu wakawa wamepitia wakati mgumu kama wangu
Basi huna akili timamuNakataa kama nimetengenezwa kwa sababu kuna ahadi sijamtimizia na hela sio kama sina, sasa kama angekuwa amenitengeneza ningemtimizia, hicho ndicho kinachonipa nguvu ya kukataa kama amenichezea
Huyo mwanamke ni mchawi
Siyo mwanamke tu,hata yeye hafai.Mkuu pole sana,ila hapo hakuna mwanamke mkuu,try to move on mzee,atakusumbua huyo
Nahisi dawa sio bure huyu Mwanamke, nimemfata kwake tumeombana msamaha, amenieleza sababu za kufanya yote. Ameniahidi atabadilika. Navyoandika sasa tupo wote. Moyo wangu nahisi una amani. Hakika hii sio bure