Nahitaji ushauri nahisi nimelogwa.

Nahitaji ushauri nahisi nimelogwa.

Pole mkuu, yawezekana ni tatizo la kiasaikolojia, labda baada ya kutishiwa ukaanza kujenga hofu (kwenye sub-concious mind or unknowingly), then huo uoga ndio umeenza kukushawishi concious mind vinginevyo.

Otherwise, Uchawi upo (hata kwenye vitabu vitakatifu umeandikwa sana), ila Habari njema ni kuwa Kunaye Mungu ambaye shetani hana ujanja Kwake, so ukiwa nae na kumshika kwa moyo, uko safe na huna cha kuogopa kuhusu shetani. Mtafute maadamu anapatikana. (unfortunately watu wengi wamejazwa hofu sana ya kumuogopa shetani, ni kweli shetani ukimzoea zoea lazima atakuaibisha ila ukimjulia, he is nothing at all)

Vinginevyo Ligi mkuu sio nzuri, Binafsi sikubali kuonewa, ila likija swala la ligi inayoweza kuepukika, Mkuu huwa napisha mwenye nguvu apite na hadi sasa sijawahi kujuta.
tatizo sipendi kushindwa mkuu
 
sasa ungebadilisha heading
ungeandika ''naombeni ushauri nifunge ndoa na mnyama yupi kati ya hawa?''
sasa ingekuwa kuomba ushauri si ungenishauri vibaya wewe
 
me nahisi ni tatizo la kisaiokolojia umelianzisha mwenyewe kwa kujitisha,
if ni kurogwa kweli kuna mawili chagua kusuka au kunyoa either kwenda kwa mganga au kurudi kwenye maombi uende na kichwa na kiwiliwili sio kwa kubip
 
Aisee funga na nenda kaombewe, this is very serious kama ni kweli.
 
Duniani kuna mambo mambo yenyewe ndio haya............... nenda Umasaini au Usukumani kuna ng'ombe na mbuzi kibao.
 
tatizo sipendi kushindwa mkuu

Mkuu natamani ingekua kwamba Hupendi kukata tamaa, ila kama ni kushindwa Mkuu, kuna mazingira mengine huwa inabidi uache tu mambo yapite, au pengine ukubali kushuka ili mambo yaende sawa. na unakuta ukiacha tu hivyo wala hudhuriki wala nini, just kwa watu wenye busara zao watakuheshimu ila huyo mjinga ataona amekushinda sana katika ujinga wake. Ila kuonewa ndio napinga kwa nguvu zote mkuu.

Na wakati mwingine, ukimya ni dawa nzuri sana. Mkuu mmoja aliwahi kusema ''kamwe sijawahi kujutia kwa kukaa kwangu kimya'' just learn to let it go sometimes Bro.
 
dawa yake inakwaje mkuu niPM
oa tu mkuu hiyo issue itapotea, lakini usijaribu kwenda kwa mganga sababu nae ni mchawi, omba Mungu sana na ikiwezekana peleka hili swala kwa mchungaji then uktoka nenda kituo cha counselling ili akili yako irudi kawaida maana mpaka sasa akili yako ipo kwenye level ya 'TOTALLY COLLAPSED'.
 
fuga kuku wa kiasia, na bata wa kimagharibi, hawa hata ukipata hamu hawana shida wala sio wabishi!!
kisha oa
 
Duuuh jf ina mambo kweli kweli!
Pole sana mkuu! Na kushauri ukimbilie kanisani! Usijali hili tatizo litakwisha jiweke karibu na mungu na maombi ya kila leo!
Tafuta mtu mmoja unayedhani ni tajiri sana, kisha anza kushindana naye kutafuta pesa, naamini utamshinda kama ulivyomshinda huyo jamaa kwa demu. Halafu kila utakapoona majumba na magari ya kifahari utatamani kuyanunua kama unavyotamani wanyama.
 
duh yani JF km ulilog in ukiwa umenuna lazma utalog out meno yote nje khaaaa:becky:
 
me nahisi ni tatizo la kisaiokolojia umelianzisha mwenyewe kwa kujitisha,
if ni kurogwa kweli kuna mawili chagua kusuka au kunyoa either kwenda kwa mganga au kurudi kwenye maombi uende na kichwa na kiwiliwili sio kwa kubip
Nikiwa na mpenzi heri anitege kwa kujifanya doggy style bhana vinginevyo mmmh!
 
Tafuta mtu mmoja unayedhani ni tajiri sana, kisha anza kushindana naye kutafuta pesa, naamini utamshinda kama ulivyomshinda huyo jamaa kwa demu. Halafu kila utakapoona majumba na magari ya kifahari utatamani kuyanunua kama unavyotamani wanyama.

daaahhhh..nimecheka hapaa..!!wenzako wanashindana na hela wewe unashindania wanawake..jipange bro..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom