Nahitaji ushauri nahisi nimelogwa.

Nahitaji ushauri nahisi nimelogwa.

najaribu kuangalia avatar yako na ulicho andika!!!mmmmm!
 
najaribu kuangalia avatar yako na ulicho andika!!!mmmmm!
toa ushauri bhana,avatar achana nayo ila ndo hivo mapenzi yangu yamehamia kwa animals
 
vipi ukimuona yule mzee wa gombe aka waziri inakuwaje!
 
Tafuta mtu mmoja unayedhani ni tajiri sana, kisha anza kushindana naye kutafuta pesa, naamini utamshinda kama ulivyomshinda huyo jamaa kwa demu. Halafu kila utakapoona majumba na magari ya kifahari utatamani kuyanunua kama unavyotamani wanyama.

Ha ha ha umemjibu vizuri sana
 
tatizo mbuzi akilia meeeeee msuli unaanza push up
 
tatizo ndo hivo,nataka kuoa sasa nifunge ndoa na nani?

Sasa unataka kuoa sababu ya UMRI,FASHENI au ndio umempata mnyama umpendae..............................???

Kutamani kuoa/kuolewa huwa kunakuja baada ya kupata the right candidate.............................haya tuambie..............

We umempata nani anayekupa kiwewe cha kutaka kuoa...................au unataka kutimiza wajibu tu....................???

Nionavyo mimi unafanya maandalizi ya KUIVUNJA NDOA ambayo hata hujaifunga!
SUGUA GOTI ILI URUDI KUWA BINADAMU...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom