Nahitaji ushauri nahisi nimelogwa.

Nahitaji ushauri nahisi nimelogwa.

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Kuna wakati tulifukuzia mrembo na jamaa mmoja,watu waliniambia nisishindane na huyo mtu mana ni mshirikina balaa,nilifanikiwa kuwa na huyo girl kimapenzi,baada ya hapo najikuta hisia zangu za mapenzi zimeisha kwa wanawake.
Nashangaa nikaanza kutamani wanyama,Mbuzi,ngombe,n.k wakikatiza mbele yangu najikuta mhongo umeshasimama.
Sometimes nikiwa kwenye gari nadrive nikimwona tu mnyama kwenye barabara anakatiza basi ugonjwa wangu unaanza.
Sijui nianze kufuga wanyama ila mbona nitakuwa nafanya maovu na nafsi inanisuta.
Nishaurini jamani!
 
watu mnakwepa thread kwanini?
 
Tafuta mtu mmoja unayedhani ni tajiri sana, kisha anza kushindana naye kutafuta pesa, naamini utamshinda kama ulivyomshinda huyo jamaa kwa demu. Halafu kila utakapoona majumba na magari ya kifahari utatamani kuyanunua kama unavyotamani wanyama.
 
Tafuta mtu mmoja unayedhani ni tajiri sana, kisha anza kushindana naye kutafuta pesa, naamini utamshinda kama ulivyomshinda huyo jamaa kwa demu.
tatizo nikilala ndoto za mbuzi na ngombe zinanijia,nasiki sauti ikisema,meeeeee,bowww
 
WEWE UNA TATIZO KITAALAMU HUKU GAMBOSHI TUNAITA 'mersurea tawire' MWISHO WA SIKU KIZAZI KITAPOTEA
 
Nina wasiwasi na Id yako, huenda ni mmja wa wale kina dada walioiingiliwa na Mbwa, na hapa umekuja kutafuta faraja. Huna tofauti na hao wanyama unaowatamani. **** yako.
 
hii ni story ama kweli? if kweli polee....
 
Pole mkuu, yawezekana ni tatizo la kiasaikolojia, labda baada ya kutishiwa ukaanza kujenga hofu (kwenye sub-concious mind or unknowingly), then huo uoga ndio umeenza kukushawishi concious mind vinginevyo.

Otherwise, Uchawi upo (hata kwenye vitabu vitakatifu umeandikwa sana), ila Habari njema ni kuwa Kunaye Mungu ambaye shetani hana ujanja Kwake, so ukiwa nae na kumshika kwa moyo, uko safe na huna cha kuogopa kuhusu shetani. Mtafute maadamu anapatikana. (unfortunately watu wengi wamejazwa hofu sana ya kumuogopa shetani, ni kweli shetani ukimzoea zoea lazima atakuaibisha ila ukimjulia, he is nothing at all)

Vinginevyo Ligi mkuu sio nzuri, Binafsi sikubali kuonewa, ila likija swala la ligi inayoweza kuepukika, Mkuu huwa napisha mwenye nguvu apite na hadi sasa sijawahi kujuta.
 
WEWE UNA TATIZO KITAALAMU HUKU GAMBOSHI TUNAITA 'mersurea tawire' MWISHO WA SIKU KIZAZI KITAPOTEA
tatizo ndo hivo,nataka kuoa sasa nifunge ndoa na nani?
 
Kuna wakati tulifukuzia mrembo na jamaa mmoja,watu waliniambia nisishindane na huyo mtu mana ni mshirikina balaa,nilifanikiwa kuwa na huyo girl kimapenzi,baada ya hapo najikuta hisia zangu za mapenzi zimeisha kwa wanawake.
Nashangaa nikaanza kutamani wanyama,Mbuzi,ngombe,n.k wakikatiza mbele yangu najikuta mhongo umeshasimama.
Sometimes nikiwa kwenye gari nadrive nikimwona tu mnyama kwenye barabara anakatiza basi ugonjwa wangu unaanza.
Sijui nianze kufuga wanyama ila mbona nitakuwa nafanya maovu na nafsi inanisuta.
Nishaurini jamani!

Yani mapenzi yako yamehamia kwenye mboga....!!!!

Mmh kaombe msamaha!!!
 
Ousofia kwi kwi kwi kwi kwi kwa kukushauri tu twiga ni mzuri sana au tafuta mnyama umpendae sana zaidi ya wenzie ufunge nae ndoa
najitolea kuwa mwenyekiti wa kamati ya maandalizi
 
Last edited by a moderator:
kunywa juice ya pilipili glasi mbili kutwa mara tatu..
Problem solved!
 
hii ni story ama kweli? if kweli polee....
ndo hivo mbuzi akikatiza au nikisikia sauti yake inaita meeeeeee,mwenzako najihisi mahaba,damn
 
Kuna wakati tulifukuzia mrembo na jamaa mmoja,watu waliniambia nisishindane na huyo mtu mana ni mshirikina balaa,nilifanikiwa kuwa na huyo girl kimapenzi,baada ya hapo najikuta hisia zangu za mapenzi zimeisha kwa wanawake.
Nashangaa nikaanza kutamani wanyama,Mbuzi,ngombe,n.k wakikatiza mbele yangu najikuta mhongo umeshasimama.
Sometimes nikiwa kwenye gari nadrive nikimwona tu mnyama kwenye barabara anakatiza basi ugonjwa wangu unaanza.
Sijui nianze kufuga wanyama ila mbona nitakuwa nafanya maovu na nafsi inanisuta.
Nishaurini jamani!
Nitafute nikuombee hilo pepo likutoke
 
tatizo ndo hivo,nataka kuoa sasa nifunge ndoa na nani?

sasa ungebadilisha heading
ungeandika ''naombeni ushauri nifunge ndoa na mnyama yupi kati ya hawa?''
 
Nina wasiwasi na Id yako, huenda ni mmja wa wale kina dada walioiingiliwa na Mbwa, na hapa umekuja kutafuta faraja. Huna tofauti na hao wanyama unaowatamani. **** yako.
aaah udada tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom