Nahitaji uchawi wa kununua

Mungu akurehemu, watu wanapiga vita uchawi halafu wewe ndio kwanza unataka ununue, kama shida za maisha njoo kwa Yesu anamaliza yote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni serious or just kidding jamanii???
 
Kumbe uchawi ni bidhaa yenye unaweza nunua eehhhhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Heeee mkuu ulikuwa hujui!!
Kuna uchawi wa kupima,wa mafungu, wa rejareja, wa Jumla na take away.
Inategemeana na mahitaji hata kukopa upo. Sema huu wa kukopa unakuwa hauna nguvu sana.[emoji6] [emoji6]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…