Nahitaji uchawi wa kununua

Nahitaji uchawi wa kununua

Kwenye maduka ya jumla hapo k/koo umekosa??
 
Heeee mkuu ulikuwa hujui!!
Kuna uchawi wa kupima,wa mafungu, wa rejareja, wa Jumla na take away.
Inategemeana na mahitaji hata kukopa upo. Sema huu wa kukopa unakuwa hauna nguvu sana.
Duhhh......
Makubwa haya
 
ukipata ya kufanya nisionekane au chuma ulete ya kuchukua mzigo bank ni pm mkuu.
 
Kwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
Umejiuliza mara mbili madhara ya hicho unachokitafuta?

Kwa ufupi ni kwamba unaikabidhi roho yako kwa mashetani.yatakayokutesa maisha yako yote .

Utakuwa mtumwa usiye na Uhuru wa kuamua ufanye nini kwa wakati gani Bali mtumwa wa roho hizo za kipepo.

Utakuwa umepoteza nafasi yako ktk ufalme wa mbinguni bali utakuwa umejikabidhi Mwenyewe kwa malaika wa giza na kuzimu ,jehanum ya moto itakuwa inakusubiri.

Nakushauri uokoke umpokee Yesu ili uwe salama kwani nafasi bado unayo,
Utapata Amani ya moyo wako.
Utapata afya njema na utakuwa salama maisha yako yote.

Upate Uzima wa milele.

Kwa maelezo.zaidi njoo pm.
 
Boss, njoo kwa msisi au nenda kibaha nina wakala wangu mitaa hiyo na hata humu yupo...atakupm!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom