Kama unao mumu naomba niroge basi..ni serious or just kidding jamanii???

Duhhh......Heeee mkuu ulikuwa hujui!!
Kuna uchawi wa kupima,wa mafungu, wa rejareja, wa Jumla na take away.
Inategemeana na mahitaji hata kukopa upo. Sema huu wa kukopa unakuwa hauna nguvu sana.![]()
![]()
Me nnao ila sio wa nchi hiiKama unao mumu naomba niroge basi..![]()

Huo huo ndio mzuri niroge tu mm nipo tayari..Me nnao ila sio wa nchi hii![]()

Umejiuliza mara mbili madhara ya hicho unachokitafuta?Kwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
Nakuhurumia,.unaweza tembea kichwa chini miguu juuHuo huo ndio mzuri niroge tu mm nipo tayari..![]()

Huhuhu utakua unanipenda lkn hauna wivu ,,, inabidi nikuache .
Nataka mwenye wivuuuuuuuuuuuuu

nataka kula kizuri na wenzanguWe cheka tuweweee
Kweli wanawake kibonge mna roho nzuri sanaaaa ,,,, heri wenye mioyo safi maana peponi watafikaWe cheka tu


Kweli wanawake kibonge mna roho nzuri sanaaaa ,,,, heri wenye mioyo safi maana peponi watafika![]()

ameeen ameeen..ukitabasam mara mbili unafanya nitabasam mara nne






mara saba sasa hyomara saba sasa hyo













nilikuambia toka siku yakwanza , Tabasamu lako linanifanya nitabasamu zaidi.nilikuambia toka siku yakwanza , Tabasamu lako linanifanya nitabasamu zaidi.
Sometime I wish I could be cross-eyed so that I could see you twice


