yna12
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,936
- 2,318
Nenda Kanisani ukawaone watumishi wa Mungu wakuongoze sala ya toba kama Plan A. Baada ya hapo utajua sasa kama kweli unahitaji kile unachokitafuta au hukihitaji! Unatakiwa umkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yakoKwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
Mkuu unaweza kweli ukwa mwanga weeHii inahusisha vitu vingi mkuu. Inamana hyo 70 ni nauli yake kwenda na kurudi pamoja na kuandaa vifaa vyote vya kazi.
Kuku mweupe, mayai mawili ya bundi, yai viza 1, nafaka (mtama mweupe) kilo 1, ukindu, chungu, mafuta ya taa robo, nazi 2, ubani maka wa 500, marashi rose chupa 3, sadaka 6000, + dawa yenyew.

Nasikia super market kubwa huwaga hapakosagi kitu,jaribu kuulizia na hukoKwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
Mm sio mwanga mkuuMkuu unaweza kweli ukwa mwanga wee![]()
![]()
![]()
Huu uzi ni wa vicheko...Au nmeingia choo tofauti manake naona mnacheka tuukoo koooo
Mkuu haujanutaftaKwa yeyote anaefahamu mahali ulipo
Njoo PM tuweke mipango mkuu ili nisiharibu ratba zangu
Duka gani pale Mkuu??mkuu uko sure hata kariakoo hamna? au jaribu mlimani city.
Usisahau Kunguru Mjane, hahahaaaaaa, ndg wa huu uzi kaniacha hoi.Hii inahusisha vitu vingi mkuu. Inamana hyo 70 ni nauli yake kwenda na kurudi pamoja na kuandaa vifaa vyote vya kazi.
Kuku mweupe, mayai mawili ya bundi, yai viza 1, nafaka (mtama mweupe) kilo 1, ukindu, chungu, mafuta ya taa robo, nazi 2, ubani maka wa 500, marashi rose chupa 3, sadaka 6000, + dawa yenyew.