MAKOLE JF-Expert Member Feb 5, 2012 618 280 Jan 18, 2015 #1 Natafuta Tshirt kwa ajili ya wanafunzi. kwa mwenye taarifa wapi zapatikana anipm ili tuwasiliane kwa mapatano ya bei, rangi na idadi.
Natafuta Tshirt kwa ajili ya wanafunzi. kwa mwenye taarifa wapi zapatikana anipm ili tuwasiliane kwa mapatano ya bei, rangi na idadi.
OME123 JF-Expert Member Oct 4, 2010 1,498 605 Jan 18, 2015 #4 MAKOLE said: Natafuta Tshirt kwa ajili ya wanafunzi. kwa mwenye taarifa wapi zapatikana anipm ili tuwasiliane kwa mapatano ya bei, rangi na idadi. Click to expand... Mi ni supply nazitoa ugani nipm namba yako tuongee bei
MAKOLE said: Natafuta Tshirt kwa ajili ya wanafunzi. kwa mwenye taarifa wapi zapatikana anipm ili tuwasiliane kwa mapatano ya bei, rangi na idadi. Click to expand... Mi ni supply nazitoa ugani nipm namba yako tuongee bei
OME123 JF-Expert Member Oct 4, 2010 1,498 605 Jan 18, 2015 #5 Nazitoa uganda,bei ni the max 12000 lowest 8000 sasa hapa inategemeana na quality na rangi
M MAKULUGA JF-Expert Member Jan 21, 2011 7,151 9,349 Jan 18, 2015 #6 Mh mbona zipo posta bei 4000,7000/= poa kabisa kwa wanafunzi ,kuna makmtaa Fulani kavumbi kanachepukia bara2 ya Morogoro ,sikumbuki jina omunga said: Nazitoa uganda,bei ni the max 12000 lowest 8000 sasa hapa inategemeana na quality na rangi Click to expand...
Mh mbona zipo posta bei 4000,7000/= poa kabisa kwa wanafunzi ,kuna makmtaa Fulani kavumbi kanachepukia bara2 ya Morogoro ,sikumbuki jina omunga said: Nazitoa uganda,bei ni the max 12000 lowest 8000 sasa hapa inategemeana na quality na rangi Click to expand...
B batchu JF-Expert Member Mar 11, 2014 263 35 Jan 19, 2015 #7 Mimi nnazo kwa bei nafuu sn tuwacliane nikutumie picha.0719203333