Mkuu Pole sana kwa hayo maradhi ya huyo mtu wako aliye pooza mwili na kuvimba kwenye ubongo.Nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mgonjwa wako aweze kupona maradhi yake .Wadau nina mgonjwa kapalalaizi tumeenda Muhimbili imesemekana ana uvimbe kwenye ubongo uliosababishwa na TB (kifua kikuu).
Mwenye kujua dawa ya kuyeyusha huo uvimbe anisaidie, hata mawazo pia ntayapokea nilimradi nipate pa kuanzia.
dr mzee wangu 75yrs kapata stroke ila imegusa ubongo tu kulingana na kipimo cha MRI... ni mwaka 4 sasa amechanganyikiwa na wasiwasi wa kutosha....tunampa dawa za bp. vp kwako itapatikana dawa...Mkuu Pole sana kwa hayo maradhi ya huyo mtu wako aliye pooza mwili na kuvimba kwenye ubongo.Nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mgonjwa wako aweze kupona maradhi yake .
Kuna sehemu nilisoma hii.dr mzee wangu 75yrs kapata stroke ila imegusa ubongo tu kulingana na kipimo cha MRI... ni mwaka 4 sasa amechanganyikiwa na wasiwasi wa kutosha....tunampa dawa za bp. vp kwako itapatikana dawa...
Dawa kwangu ipo nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mzee wako.dr mzee wangu 75yrs kapata stroke ila imegusa ubongo tu kulingana na kipimo cha MRI... ni mwaka 4 sasa amechanganyikiwa na wasiwasi wa kutosha....tunampa dawa za bp. vp kwako itapatikana dawa...
nakupata wapi dr....mimi niko dar huna ofisi dar unipe ramani nijeDawa kwangu ipo nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mzee wako.