Ah!! Michongo mingine hii unajua kabisa ina lengo la kukwamishana ili kesho mtuambie "tunawapa mishe lakini hamzichangamkii"!! Yaani Kilo 500,000 za Pilipili?!
Ah!! Michongo mingine hii unajua kabisa ina lengo la kukwamishana ili kesho mtuambie "tunawapa mishe lakini mnazipotezea"!! Yaani Kilo 500,000 za Pilipili?!
Hiyo angetoa bei kwa kilo, kama inalipa atoe miezi mitatu alimiwe...
Kwa hapa Nyumbani hatuna large scale ya kilimo cha pilipii ya kuweza kupata Tani 500
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.