Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania!
Natafuta watu wa Sales & Marketing ( Unlimited ).
Nahitaji wakazi wa Dar as Salaam tu.
Sifa
1. Ujue mitaa (maeneo) ya mkoa tajwa.
2. Umri: 18-35.
3. Jinsia: Me & Ke.
4. Elimu: Kidato cha NNE na kuendelea.
5. Uwe na smart phone.
6. Uwe tayari kufanya kazi kwa shinikizo.
7. Uwe na uwezo wa kufanya kazi online 24/7.
8. Uwe mbunifu na mwenye uwezo wa kufanya kazi kikamilifu.
Malipo
Tunalipa kwa commission. Walio na tayari na wenye sifa tajwa wanakaribishwa.
Mfumo wa maombi. Tuma taarifa zako kama ifuatavyo;
1. Jina kamili:
2. Umri:
3. Unapoishi (mtaa, kata & wilaya):
4. Jinsia:
5. Elimu:
6. Namba ya simu (what's app).
Kwenda namba +255 766 466 892.
Tuma SMS tu. Vigezo na masharti vizingatiwe.
Natafuta watu wa Sales & Marketing ( Unlimited ).
Nahitaji wakazi wa Dar as Salaam tu.
Sifa
1. Ujue mitaa (maeneo) ya mkoa tajwa.
2. Umri: 18-35.
3. Jinsia: Me & Ke.
4. Elimu: Kidato cha NNE na kuendelea.
5. Uwe na smart phone.
6. Uwe tayari kufanya kazi kwa shinikizo.
7. Uwe na uwezo wa kufanya kazi online 24/7.
8. Uwe mbunifu na mwenye uwezo wa kufanya kazi kikamilifu.
Malipo
Tunalipa kwa commission. Walio na tayari na wenye sifa tajwa wanakaribishwa.
Mfumo wa maombi. Tuma taarifa zako kama ifuatavyo;
1. Jina kamili:
2. Umri:
3. Unapoishi (mtaa, kata & wilaya):
4. Jinsia:
5. Elimu:
6. Namba ya simu (what's app).
Kwenda namba +255 766 466 892.
Tuma SMS tu. Vigezo na masharti vizingatiwe.