Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,787
Hello natafuta simu ya mezani ile ambayo unaweka line ya Vodacom au ya Airtell asante sana ,
Me pia huwa nazitafuta ngoja waje wazoefuHello .Natafuta simu ya mezani Ile ambayo unaweka line ya vodacom Au ya Airtell .Asante sana ,
Zinapatikana Mtaa wa Zanaki kwenye jengo la Telephone Hse, kuna duka linatazamana na Crown Bureau De Change. Bei yake ni Tshs. 120,000/Hello .Natafuta simu ya mezani Ile ambayo unaweka line ya vodacom Au ya Airtell .Asante sana ,
Ubarikiwe mkuu wangu .Zinapatikana Mtaa wa Zanaki kwenye jengo la Telephone Hse, kuna duka linatazamana na Crown Bureau De Change. Bei yake ni Tshs. 120,000/
Simu imepauka na kufubaa hivyo unasema hujaitumia?![]()
Nnayo ...nicheki sijaitumia sana 0717616188
Wee tumia tu tumeshaonyeshwa Telecom Hse tusikunyime uhondo endeleaa nayo hiyo![]()
Nnayo ...nicheki sijaitumia sana 0717616188
Kama display ya Simu yako inavyoonesha sio?Simu imepauka na kufubaa hivyo unasema hujaitumia?
AyaWee tumia tu tumeshaonyeshwa Telecom Hse tusikunyime uhondo endeleaa nayo hiyo
Au TECNO W3 ndo imefifisha?
[emoji36]Au TECNO W3 ndo imefifisha?