SWEET GIRL
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 520
- 377
Wapendwa nahitaji simu aina ya blackbery sasa nashindwa kujua ipi ni nzuri so please naomba ushauri ninunue ipi pesa yangu pia si nyingi pls pls nisaidieni nisije nikaingizwa mkenge hapa mjini
Wapendwa nahitaji simu aina ya blackbery sasa nashindwa kujua ipi ni nzuri so please naomba ushauri ninunue ipi pesa yangu pia si nyingi pls pls nisaidieni nisije nikaingizwa mkenge hapa mjini
Wapendwa nahitaji simu aina ya blackbery sasa nashindwa kujua ipi ni nzuri so please naomba ushauri ninunue ipi pesa yangu pia si nyingi pls pls nisaidieni nisije nikaingizwa mkenge hapa mjini
Sweet Girl,Wapendwa nahitaji simu aina ya blackbery sasa nashindwa kujua ipi ni nzuri so please naomba ushauri ninunue ipi pesa yangu pia si nyingi pls pls nisaidieni nisije nikaingizwa mkenge hapa mjini
Sweet Girl,
kama unahitaji Blackberry halafu haujui ni aina gani,inaonekana hata matumizi yake yatakusumbua. Nakushauri endelea kutumia Nokia torch mpaka hapo utakapojua ni aina gani ya blackberry itakufaa kwa matumizi yako.
nenda manzese pale darajani tangaza shida yako,wale mateja watakuletea sampuli kama mia hivi..mpaka zenye torch, anterna na redtooth,greentooth,blacktooth.nk,nk
Kwa sista duu specs zote hpo kwke hazina muhimu ye antka ya kuuzia sura 2 BB cku hz urembo weng hawajui hta kuzi2miabb hii hapa ina specification nzuri na bei pia sio kubwa sana inatumia os 5 na utawepa upgrade kwenda 6
![]()
Ina 3g, ram 256mb, internal memory 256mb inaingia memory card
Camera ni 3.2mp ina wireless processor 624mhz
Bei ni laki 3 hadi 4.
yaani tushauriane hadi simu, kuna siku mtu atakuja kutuuliza nia aina gani ya ndala za kuogea anunueDuh hata mdada wa watu amekimbia maaana mabango aliyopata hata sijui kama atarudi hapa jukwaani.
Kwa mtazamo wangu naona ni vizuri kujibu kitu kama unaelewa na sio kuvunja watu moyo yaani bora umuelekeze mtu kuliko kumpoteza kabisa
bb hii hapa ina specification nzuri na bei pia sio kubwa sana inatumia os 5 na utawepa upgrade kwenda 6
![]()
Ina 3g, ram 256mb, internal memory 256mb inaingia memory card
Camera ni 3.2mp ina wireless processor 624mhz
Bei ni laki 3 hadi 4.
Mkuu naomba uniambia hii BB ni model gani.Natanguliza shukrani