Nahitaji simu haraka bei 180,00

Habari wanajukwaaa.

Sina maneno mengi sana nahitaji simu nzuri yenye uwezo wa 4G iwe used lakin isiwe zaidi ya miezi sita....nipo dar jiji la bashite...

Kama unayo naomba unitumie picha na uje PM kwa biashara zaidi.
Simu ya elfu kumi na nane (18000) ipoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…