Nahitaji Samsumg Galaxy Note 4

Nahitaji Samsumg Galaxy Note 4

Eliphaz the Temanite

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2010
Posts
3,018
Reaction score
1,154
Bajeti yangu ni lak 5.5 kuna room ya negotiation! Dont even think kuniletea copy I know the infact mimi pia huwa naziuza
mwenye hii kitu ani PM tafadhali
 
Bajeti yangu ni lak 5.5 kuna room ya negotiation!!! Dont even think kuniletea copy I know the infact mimi pia huwa naziuza
Mwenye hii kitu ani PM tafadhali

ipo all most new imetumika mwezi tuu ..970000,kama uko serious nichek hapa 0783380123
 
Mkmi ninayo mpya kabisaaa yani hata laini haijawekwa jiongeze mpaka milioni na laki tatu (1.3 nikupe else no?
 
Samsung Note 4 original bei yake ikiwa mpya hapa Tanzania ni kuanzia Tshs 1,300,000 hadi 1,700,000. Iliyotumika ndiyo yaweza kuuzwa kati ya Tshs 700,000 hadi 1,000,000 kulingana na shida na uharaka.

images.jpg
 
note 2 napata kwa sh ngap used hata kama n miez 9.
 
Back
Top Bottom