Kuna jamaa hapa mtaani alinambia wazo kama lako, then akampata mtu toka Malawi kama sikosei sehemu moja inaitwa Chitipa, msela akajikusanya akatimba huko ilikuwa kama February ivi, kaenda karudi we' sasa ivi mambo yake ni "Mtibwa" lkn ndo ivo hatoi code ukimuuliza yeye anakwambia tafuta 1m nikupeleke.....
nazihitaji hivyo hivyoHizo pesa zotakutokea puani
hapana sijawahiUnaweza kutumia smg?
Basi bado hujaivahapana sijawahi
kuwa serious mkuuUtakua WAMOTO we mwenyewe fursa.
Kwanza umekula?
Watakutafuta hao
Nicheck kama upo seriously kwelihakuna muda wakupoteza
nahitaji pesa zachap chap .yan ndani yamuda mfupi maisha yangu yawe good.
Nahitaji wazee wa connection mnishike mkono kijana wenu
NOTE; kwenye hili niko serious zaidi ya unavyodhani
Mungu akutie nguvu kwenye utafutaji wakonazihitaji hivyo hivyo
Mungu alimuuliza Musa (una nini mkononi)bila kitu hupati kitu!!sina hata kiwanja
ule ule wananiMwandiko ni ule ule ila ID ni mpya...
umeanza maigizo yakutishana sasaOk kama uko tayari kumtoa kafara mama yako mzazi na mtoto wako mmoja kama unaye kama huna basi nduguyo mwngne wa karibu sn atakuwa mbadala na utaish miaka 5 ukila bata ksha utatoa tena kafara nzto kuliko ya mwanzo utapata tena miaka 10 ya bata. Karibu pm.
sawa tu lete mchongo acha mikwaraPesa zipo tena za kutosha ili tukubaliane nyoka watakuwa wanakaa kwako
Hakuna hela hapo ni mazingaombwe tu.ule ule wanani
sikuelewi upo upande ganiHakuna hela hapo ni mazingaombwe tu.