Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 13,829
- 39,487
Naona kitu cha Ubuntu hiyo itakuwa ni kazi kazi 😁
Naona kitu cha Ubuntu hiyo itakuwa ni kazi kazi 😁
Hawa wa ubuntu hawana kabisa ishu ya update wala activate ni kuseleleka tuuu aiseeeNaona kitu cha Ubuntu hiyo itakuwa ni kazi kazi 😁
Jamaa anafanya kazi NASAMmmmh we kaka ni data analytics nini haya madude ndo manini et..
Kama hiyo ALFA Kazi ake nn mkuu
🤣🤣🤣🤣 mambo ya kudaka mawimbi ya mbali ya wifi haya na kuwa na strong internet nitafutie nami yenye namba hii mkuuHacking haitaji computer yenye specificions kubwa. Siri ya hacking ni uwezo mkubwa wa focus on jambo hadi uone matumizi katika namna ya ziada iliyo ya kawaida... Nina computer 5 Kila mmoja Ina kazi maalumu na spec tofauti.. Unaijua ALFA wewee 😅😅
View attachment 3524017
Mpe hi kijana wa ma jobless Intelligent businessman
Mcheki mbu wa dengue akuchekie za dubai ambapo bei yake ni nafuu kidogoWakuu habari za wakati huu, mwaka mpya unaingia nimrjipanga nianze kufanya issues za Interior Designing mambo ya sketchup so nahitaji pc yenye specs kama hizo hapo chini.
Intel Core i7/i9 or AMD Ryzen 7/9 series), at least 16-32GB of RAM (, a dedicated graphics card with at least 4GB of VRAM (NVIDIA GeForce RTX series.
ALFA ni kisu kikali sana, kwenye kufanya wireless 🛜 penetration testingMmmmh we kaka ni data analytics nini haya madude ndo manini et..
Kama hiyo ALFA Kazi ake nn mkuu
Na ndani Kuna parrot 🦜 😅😅Naona kitu cha Ubuntu hiyo itakuwa ni kazi kazi 😁
😅😅 Kama unajua unajuaa tu.. myama mkali sana huyuu .. ukijumuisha flipper zero🤣🤣🤣🤣 mambo ya kudaka mawimbi ya mbali ya wifi haya na kuwa na strong internet nitafutie nami yenye namba hii mkuuView attachment 3524127
Nayajua sana yapo ofsini tunayatumia vibaya vibaya tu yaani🤣🤣🤣🤣🤣😅😅 Kama unajua unajuaa tu.. myama mkali sana huyuu .. ukijumuisha flipper zero
🔥🔥🔥 Kumbe team mojaNayajua sana yapo ofsini tunayatumia vibaya vibaya tu yaani🤣🤣🤣🤣🤣
Already tested.Mcheki mbu wa dengue akuchekie za dubai ambapo bei yake ni nafuu kidogo
Home boy kabisaa mkuu🤣🤣🤣🔥🔥🔥 Kumbe team moja
Unafahamu hawa wanyama bila shaka 😅😅Home boy kabisaa mkuu🤣🤣🤣
🥰🥰✌️✌️🙌🙌 nawajua sio kitoto yaan hebu siku moja uje pale K...... nyama tuje tuburudike mkuuUnafahamu hawa wanyama bila shaka 😅😅View attachment 3524316
Kijana Poor Brain ana kitu atajifunza pamoja na jobless Intelligent businessman
😅😅 nitakucheki mtalaamu, uzuri nipo around hata mida hii nipo Montana hapa🥰🥰✌️✌️🙌🙌 nawajua sio kitoto yaan hebu siku moja uje pale K...... nyama tuje tuburudike mkuu
Toa ushauri kwa wanatumia PC zenye RAM 4gb
Usijali mkuu ngoja nilale sasa macho yameanza kulegea nisije jikuta najihack mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣😅😅 nitakucheki mtalaamu, uzuri nipo around hata mida hii nipo Montana hapa
Nime ongea na jamaa 2, wame sema ngoja waingie mjengoni kesho ili wanipe majibu.Haina nouma mkuu am wait
"PENETRATION TESTERS" hapo kuna computer kamili na nyingine ni kama usb ya kawaida ila niunaweza kuiba data sekunde au kuweka soft kwa kifaa kingine cha ukadukua dgdhfjfhchfddhtitdbknxfbfbcncncdvvxcxcbcbc nimechoka mimi nalala😁😁😁🤣Unafahamu hawa wanyama bila shaka 😅😅View attachment 3524316
Kijana Poor Brain ana kitu atajifunza pamoja na jobless Intelligent businessman
Chill mkuu.Unafahamu hawa wanyama bila shaka 😅😅View attachment 3524316
Kijana Poor Brain ana kitu atajifunza pamoja na jobless Intelligent businessman