Nahitaji pc ya kazi used core i7, ram 16-32,

Nahitaji pc ya kazi used core i7, ram 16-32,

"PENETRATION TESTERS" hapo kuna computer kamili na nyingine ni kama usb ya kawaida ila ni🫆unaweza kuiba data sekunde au kuweka soft kwa kifaa kingine cha ukadukua dgdhfjfhchfddhtitdbknxfbfbcncncdvvxcxcbcbc nimechoka mimi nalala😁😁😁🤣
😁😁 Hiyo fumba na kufumbua mzigo wote unahamishwa na kuacha backdoor
 
Kumbe tuna hacker kwenye familia, sasa hivi haina haja ya kujisumbua kuomba omba namba kwa kila mtu akiringa tuna hack simu yake 😁 Thesonboy
😅😅 hadi gari akifunga mlango tunaifungua anatukuta tumekeaa ndani.. tunamsubiri. Hii ya kutumia advantage Kuna siku jamaa yangu amekwaza sehemu ya huduma flani, jamaa kamindi kaniambia nizipige chini A.C alafu tuondoke wateseke na joto hadi waje pata solution sie tumefika home
 
"PENETRATION TESTERS" hapo kuna computer kamili na nyingine ni kama usb ya kawaida ila ni🫆unaweza kuiba data sekunde au kuweka soft kwa kifaa kingine cha ukadukua dgdhfjfhchfddhtitdbknxfbfbcncncdvvxcxcbcbc nimechoka mimi nalala😁😁😁🤣
Kidude kinajaribu fanya yake 😅😅
PXL_20260103_065607678.PORTRAIT.ORIGINAL.jpg

Hapa kisaidie na mkuu dosho12 ku mscan mke wake 😅
 
Back
Top Bottom